Anahitaji msaada wa kimatibabu

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363





Sofia James Mwiga (17, pichani) ni mkazi wa Manispaa ya Mkoa wa Tabora nchini Tanzania anaishi na ugonjwa wa kuvimba miguu kwa muda mrefu hali ilinamfanye awe mpweke huku akishindwa kuanza shule.

Kwa msaada zaidi wasiliana na baba yake mzazi kwa simu namba +255 0753 916690

KUTOWA NI MOYO JAMANI TUMSAIDIENI HUYO MWANA DADA ANATESEKA SANA.
MWENYEEZI MUNGU MPONYESHE HAYA MARADHI YAKE AMEEN.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…