Anahitaji msaada wa kisaikolojia

Dogo yuko sawa ila tatizo ndugu hamkumuelewa, na labda ni kwa sababu hamna uelewa wala exposure katika soko la ajira la Afya.

Dogo ana Hoja msikilizeni
 
Sitaki kuamini kwamba ukoo mzima hamna uelewa wa mambo kasoro yeye peke yake!
Sio hivo ndugu hata hiyo C.O sisi ndio tulimshauri asome, hii ya mionzi imetushangaza sana ukizingatia hatujui hata inahusiana nini tukahisi kijana ana msongo wa mawazo wa kukosa ajira
 
Sio hivo ndugu hata hiyo C.O sisi ndio tulimshauri asome, hii ya mionzi imetushangaza sana ukizingatia hatujui hata inahusiana nini tukahisi kijana ana msongo wa mawazo wa kukosa ajira
Ndio kukosa uelewa kwenyewe huko, eti kwasababu nyie hamjui mnafikiri na yeye hajui.
 
Mbona kama nyie ndo mnavuta bangi badala yake mkuu 🤣🤣 mtoto yuko sahihi kupambania maisha yake anapoona kuna upenyo !!
Kama mnamkatalia basi ongeeni nae awaeleze ni kitu gani anatamani kukifanya ili atimize ndoto zake iwe biashara , elimu n.k ! Halafu changishaneni mmwekeeni mazingira apambane !
 
Asante sana mkuu kwa mchango wako nimekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…