DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Kichwa cha habari chajieleza,
Anahitajika kijana mdogo na mchapakazi mwenye umri kuanzia 18-20 atakayefundishika kutengeneza bidhaa
tajwa hapo juu, kisha kuzichukua na kuzipeleka eneo la mauzo. ipo mashine ya kutengenezea.
Umri huu wengi hawatumii jf, lkn lengo ni kama wewe mwanajf una kijana anaekaa tu bila majukumu mlete apambanie ugali wake. Mahali ni Dodoma
Malipo maelewano. NB; Walioko shuleni hawahusiki. NJOO PM
Anahitajika kijana mdogo na mchapakazi mwenye umri kuanzia 18-20 atakayefundishika kutengeneza bidhaa
tajwa hapo juu, kisha kuzichukua na kuzipeleka eneo la mauzo. ipo mashine ya kutengenezea.
Umri huu wengi hawatumii jf, lkn lengo ni kama wewe mwanajf una kijana anaekaa tu bila majukumu mlete apambanie ugali wake. Mahali ni Dodoma
Malipo maelewano. NB; Walioko shuleni hawahusiki. NJOO PM