AGROPRODUCT
JF-Expert Member
- Apr 2, 2023
- 290
- 952
Usingeandika wewe ningeandika mimi haya, aisee hawa kausha dam wanawalipa pesa ndogo sanaNyie ndo mnawalipaga hao vijanana dada zetu 100,000 kwa mwezi.NINA EXPERIENCE NA HIZI MICROFINANCE NA CREDIT COMPANIES.
Anapiga mzigo na kukukusanyia 3,000,000 kwa siku then wewe unampa output ya 3000 kwa siku au 100,000 kwa mwezi.
Weka kima cha mshahara hapa Waone dada zetu ili akija inbox ajue kabisa atakutana na nini na wewe ukiona kaja inbox unajua amekubaliana na terms and agreements za malipo.
Aurevior.
Usingeandika wewe ningeandika mimi haya, aisee hawa kausha dam wanawalipa pesa ndogo sana
Samahani unaweza kumwambia mtu aweke taarifa zake Juu kwani? Niliona ni vizuri Kutumia PM kuuliza maswali yangu yanayohusu uzoefu wake, na ujuzi.Kwanini unataka aje inbox? Weka mawasiliano yako wazi. Huko kamficheni unataka nini?
1. Rushwa ya ngono
2. Rushwa ya fedha
3. Kutapeli
Wanawake ni wahanga wakubwa wa matukio hayo. So transparency is a good doctor against sexual abuseSamahani unaweza kumwambia mtu aweke taarifa zake Juu kwani? Niliona ni vizuri Kutumia PM kuuliza maswali yangu yanayohusu uzoefu wake, na ujuzi.
Salary ninatoa nzuri kuliko Viwanda vya Wahindi, na kina ACCESS, Shida ipo kwenye utemdaji kazi wako, ninatarajia kutoa Bonus, nakuwa. Na performance appraisal, Eli niwezi kujua nani anastahili kupandishiwa mshahara,Nyie ndo mnawalipaga hao vijana dada zetu 100,000 kwa mwezi.NINA EXPERIENCE NA HIZI MICROFINANCE NA CREDIT COMPANIES.
Anapiga mzigo na kukukusanyia 3,000,000 kwa siku then wewe unampa output ya 3000 kwa siku au 100,000 kwa mwezi.
Weka kima cha mshahara hapa Waone dada zetu ili akija inbox ajue kabisa atakutana na nini na wewe ukiona kaja inbox unajua amekubaliana na terms and agreements za malipo.
Aureviorw