Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Acha ukuadi mkuu ebu eleza n kazi ngan binti( mdada) wa watu anaenda kufnya.Habarini. Kama kuna yoyote ana mdada wa kazi anayemjua anatafuta kazi anicheki PM.
Anahitajika kwenda kufanya kazi Ruangwa, Lindi. Muhitaji ni mwanamama mtu mzima mtumishi wa serikalini. Hana mtoto wala familia. Watakua ni wao pekee wawili.
Acha ukuadi mkuu ebu eleza n kazi ngan binti( mdada) wa watu anaenda kuf
Sema binti wa watu anaenda kufnya kazi ngn?Acha utoto
Umeshaambiwa ACHA UTOTO..!Sema binti wa watu anaenda kufnya kazi ngn?
Poapoa mkuuShukurani kama umefanikiwa boss wangu