Anahitajika Msichana mchapakazi

Anahitajika Msichana mchapakazi

Chibidu

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2008
Posts
387
Reaction score
50
Natarajia kufungua kitegauchumi maeneo ya Mbezi Louis. Kitegauchumi hicho kitakuwa kinahusika na kuuza stationeries, photocoping, typing (Business Plans, projects, etc.), cards designing, kuuza electronic vouchers na kadhalika. Hivyo natafuta msichana mwaminifu na mchapakazi aliyesomea secretarial course na hasa anayejua kutumia computer vizuri ili kufanya kazi nilizotaja hapo juu. Kama uko tayari ama una ndugu yako, nitumie PM ili niweze kukupa maelezo zaidi. Ni vizuri mtu huyo awe anaishi maeneo ya Mbezi Louis au maeneo ya karibu na huko. Hii ni taarifa/Tangazo, sio mahali pa majadiliano. Ukinitumia PM tutajadiliana vizuri. Karibu
 
Back
Top Bottom