Anahitajika mtaalamu (mganga) wa kumgandisha mwizi na mali aliyoiba sehemu alipoibia

Anahitajika mtaalamu (mganga) wa kumgandisha mwizi na mali aliyoiba sehemu alipoibia

Mkuranga tu hapo, unaingia ndani hivi kilometa kadhaa.
Hapo mjomba ni kuwaumiza kisaikolojia kwanza. Nenda kwa mwenyekiti na balozi uwachane kbsa kua umechoka kuibiwa kwaio unatoa tangazo wawaambie wananchi kua atakaeiba kitachomkuta hataamini. Tena wapige biti kua unatokea kigoma na unaenda kuleta niaje niaje. Kisha kanunue mtungi kama ule wa kuekea maji, ule mkubwa kbsa, ndani upake petroli au mafta ya taaa.
Then nenda nao, hakikisha siku ya presentation kuna watu. Ukifika chimba mashimo hata manne kwenye kila pembe ya shamba, au ka n kubwa sana tengeneza hata kaeneo kenye ukubwa wa nusu uwanja. Hayo mashimo jaza maji wakiwa wanaona.
Ukimaliza hapo chukua mtungi, weka katikati ya hilo eneo, kisha chukua hata nazi moja vunjia mule ndani, kisha weka yale majani ya mnazi humo ndani. Ukimaliza washa kiberiti humo ndani moto uwake wauone unatokea humo ndani ya mtungi.
After that sepa zako. Tena sepa ukiwa umetahadharisha kbsa kua atakaeiba asikutafte kwa msamaha wala chochote, atajua mwenyewe yatakayomkuta.
Angalizo:
1. Hapo hakuna uchawi wala nini, ni saikolojia tu maana watu wa pwani wanaogopa na kupenda sana ushirikina lakini hua wanaogopa watu wa bara hasahasa waha, wasukuma na wakerewe (wanAamini wakerewe hua wanabeba watu na mamba, na wasukuna wanawachukua watu msukule).
2. Lazma watajarb kutest mitambo hasahasa kishirikina, kama unaamini uchawi mayb watakupiga vata, sina uhakika maana mi siamini uchawi
3. Inaeza kufeli wakaendelea kuiba zaidi lakn wengi wao wataogopa.
 
Mzee kuna nyumba kabisa, kuna mtu yupo, nami huwa nalala huko wakati mwingine, lengo haswa nihamie huko moja kwa moja nikimaliza michakato fulani town, ila bado haijawa solution.
Wanaibiwa wenyeji wa huko, unalala ndani mtu anaiba nje.
Waduwanzi wanakuja usiku wanapanda na viroba huko au kamba wanakata kole zima wanashusha kwa kamba, husikii chochote.
Fuga Mbwa au kama kuna uwezo funga cctv camera.
 
Hapo mjomba ni kuwaumiza kisaikolojia kwanza. Nenda kwa mwenyekiti na balozi uwachane kbsa kua umechoka kuibiwa kwaio unatoa tangazo wawaambie wananchi kua atakaeiba kitachomkuta hataamini. Tena wapige biti kua unatokea kigoma na unaenda kuleta niaje niaje. Kisha kanunue mtungi kama ule wa kuekea maji, ule mkubwa kbsa, ndani upake petroli au mafta ya taaa.
Then nenda nao, hakikisha siku ya presentation kuna watu. Ukifika chimba mashimo hata manne kwenye kila pembe ya shamba, au ka n kubwa sana tengeneza hata kaeneo kenye ukubwa wa nusu uwanja. Hayo mashimo jaza maji wakiwa wanaona.
Ukimaliza hapo chukua mtungi, weka katikati ya hilo eneo, kisha chukua hata nazi moja vunjia mule ndani, kisha weka yale majani ya mnazi humo ndani. Ukimaliza washa kiberiti humo ndani moto uwake wauone unatokea humo ndani ya mtungi.
After that sepa zako. Tena sepa ukiwa umetahadharisha kbsa kua atakaeiba asikutafte kwa msamaha wala chochote, atajua mwenyewe yatakayomkuta.
Angalizo:
1. Hapo hakuna uchawi wala nini, ni saikolojia tu maana watu wa pwani wanaogopa na kupenda sana ushirikina lakini hua wanaogopa watu wa bara hasahasa waha, wasukuma na wakerewe (wanAamini wakerewe hua wanabeba watu na mamba, na wasukuna wanawachukua watu msukule).
2. Lazma watajarb kutest mitambo hasahasa kishirikina, kama unaamini uchawi mayb watakupiga vata, sina uhakika maana mi siamini uchawi
3. Inaeza kufeli wakaendelea kuiba zaidi lakn wengi wao wataogopa.
Dah!! 😂 Shukrani kwa ushauri.
 
Fuga Mbwa au kama kuna uwezo funga cctv camera.

Fuga Mbwa au kama kuna uwezo funga cctv camera.
Shukrani mzee, suala la mbwa nishalifikiria.. Ila sijaanza kukaa rasmi na jinsi shamba lilivyo nashindwa kujua mbwa nitamcontrol vipi, kwa jinsi shamba lilivyo, nashindwa kuelezea labda nijaribu kuchora utanipa mawazo.
Cctv nishafatilia zile za km balbu bei zake kupitia alibaba huko,
Eneo lilivyo naona itanigharimu kiasi kingi saana, nami kwa saaa nimefua mzee, subiri zikauke.
 
Huyo ndio anakuibia
Siwezi kumuwekea imani 100%, ila wale waduwanzi wanaiba, mie nishawahi kuwepi na wakaiba, mpaka mashamba ya watu wengine yanaibiwa, sasa yule mgeni uMAMBA huo wa kuiba mashamba ya watu kaupatia wapi, msukuma wa watu hata mnazi hajui kuupanda. 😂

Kabla ya huyu kuja watu wanaiba tayari. 😡
 
Kaveli, tafuta mbwa wa kawaida puppy kama wa 4 hivi, maana ukisema utafute hizi breed zingine za nje itakuwa expensive, tafuta wakawaida ila wachukue wakizaliwa tu uwalelee shambani, ukiwa train vizuri, msosi mzuri na kuwafungia mchana wanakua wakali kweli. Usiku unawafungua wanazagaa shambani. Wakiwa wanashiba hawatatoroka. Mwanzo watakua waoga, ila kadri wanavyozidi kukua watakuwa wajasiri na wakali. Tena ikibidi wafungie mchana na usiku kwa miezi kadhaa, unawapelekea msosi tu, Mbwa ukimfungia anakua frustrated, akitoka hapo mkali balaa.

Mbwa hubweka akiona stranger
anakua amekuamsha , ukimfuata anakupeleka hadi alipo mwizi wako.

NB. Sijui kama it will work perfect kwa shambani.
 
Back
Top Bottom