Anahitajika mtu mwenye cv ya hivi

Anahitajika mtu mwenye cv ya hivi

jaman msameheni huyu jamaa nadhani pindi mtu akipatwa na shida basi huwa anaweza hata kupoteza network hata kwa sali la 1+1=?? so wana jf nawaomba mmsaideni...
 
Yah avoid kutumia ndugu ila former boss ni okey!
 
Mmh!Hao ndo magraduate wetu.Perfect negative correlation kati ya thread title and thread content
 
Jamani mpaka huruma!! Hii ndio JF bana,.hope umeelimika ndugu ye2.
 
umekua kama magazeti ya udaku..heading na content totally different.
 
Back
Top Bottom