Anahitajika Muuzaji wa Duka la Dawa Muhimu (DLDM)

Anahitajika Muuzaji wa Duka la Dawa Muhimu (DLDM)

KISUNZU YP

Senior Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
114
Reaction score
37
Habari za muda huu wadau.

Anatafutwa mtu wa kuuza duka la dawa muhimu.

SIFA
  • Awe na ADO
  • Awe mwaminifu
  • Awe mwadilifu
  • Awe na ujuzi wa kutoa dawa kwa usahihi
Sehemu ya kazi ni Sikonge - Tabora
Siku za kazi ni Jumapili - Ijumaa

Mawasiliano
0620860602
0621601703
0744200166
0764601703
AddText_10-28-07.21.46.jpg
 
Back
Top Bottom