Huyu hapa, 100,000TshPaka wa kufuga anahitajika awe mdogo kabisa ambae hana mazingira ya kumuogopa mtu ili nianze kumfuga awe mzuri , mimi nipo kigamboni ofa yangu ni 30,000, na 5000 ya nauli
Awe paka msafi mdogo kabisa na mzuri nianze kumfuga furaha yangu ni paka sometime wanapunguza stress
0678096545
Mkuu nitumie Pm location ya Mta wenu pamoja na mawasiliano nije kuchukuamo Vipaka pia...Njoo huku mtaani kwetu.kuna shamba wanazaliana.wamejaa tele weupe brown vidogo vidogo
Njoo inboxPaka wa kufuga anahitajika awe mdogo kabisa ambae hana mazingira ya kumuogopa mtu ili nianze kumfuga awe mzuri , mimi nipo kigamboni ofa yangu ni 30,000, na 5000 ya nauli
Awe paka msafi mdogo kabisa na mzuri nianze kumfuga furaha yangu ni paka sometime wanapunguza stress
0678096545