Anahoji Msemaji wa Simba wa zamani Haji Manara

Anahoji Msemaji wa Simba wa zamani Haji Manara

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Nadhani Lipo Tatizo kubwa sana kwenye hii cheque [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

1. Iyo cheque inakua authorize kwa signature upande wa kushoto [emoji15] lakin kwakua anaitoa mfuko wa kushoto kuingza mfuko wa kulia ndio maana labda na hakutakiwa kuweka media basi[emoji1787]

2. Maturity date ya cheque haionyesh inaingia lini kwenye account ipi.

3. Bank name hakuna hata kama ni sample cheque

SIMBA bana [emoji1787]

Screenshot_20210826-110622.jpg
 
Ngoja wenye taaluma yao waje watusaidie hapa.
 
usiwanyime Yanga na Hahi haki yao, muite msemaji na mhamasishaji wa Yanga.. au Brand ambassador wa Yanga... alishatoka Simba hupaswi kumhusisha nao.. ni sawa wewe watu wamu adress mke wako kuwa ex wa flan .. badala ya kumuita mke wako mke wa Josh J. [emoji28][emoji28][emoji28]
 
usiwanyime Yanga na Hahi haki yao, muite msemaji na mhamasishaji wa Yanga.. au Brand ambassador wa Yanga... alishatoka Simba hupaswi kumhusisha nao.. ni sawa wewe watu wamu adress mke wako kuwa ex wa flan .. badala ya kumuita mke wako mke wa Josh J. [emoji28][emoji28][emoji28]
Kemcho ni Msanii sana. Unajua tunaish kwenye dunia sasa hv ya wasomi na wajuzi wa mambo ambao sio rahisi kuwadanganya hata wale wasioenda shule [emoji1787][emoji1787].

Hata Mwalimu angerudishiwa nchi sasa hv ingemshinda [emoji1787][emoji1787]
 
Manyani fc simba inawapa shida mnashindwa hata kuhoji ujaja ujaja wa GSM . Kocha wanasema hii timu muunganiko inahitaji miezi mitatu, lakini hilo GSM halimhusu yeye anawaza kuwapiga Yanga.
Matokeo mabovu yakianza mnaanza kumlaumu mwenyekiti wenu na sio kumhoji gsm
 
Mbona sioni CHAWA wa Moo wakija kumtetea! Wako wapi!!
Hatudili na upuuzi sisi sio kama mambumbumbu wa Yanga ambao mnaambiw majibu ya Morrison tar 24 halafu badala ya kuletewa majibu mnaletewa Manara alokuwa anawatukana kila aina ya Tusi, hayo maswali angeuliza wakati yupo kwa mumewe aliyemtoa bikra (SIMBA SPORTS CLUB) siyo baada ya kutalikiwa na kwenda kwa bwana mwingine ndo anajifanya kuuliza, we can't argue with such kind of stupidity na hata kuandika hivi tupu nimeheshimu uwezo wako mdogo nikaona kutoe tongotongo and by the way is he there for SIMBA or YANGA?..if Yanga bas astik kwenye kuizungumzia club yake mpya and not US, by the way list ya vilabu 40 bora Africa imetoka Go n Check.
 
Nadhani Lipo Tatizo kubwa sana kwenye hii cheque [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

1. Iyo cheque inakua authorize kwa signature upande wa kushoto [emoji15] lakin kwakua anaitoa mfuko wa kushoto kuingza mfuko wa kulia ndio maana labda na hakutakiwa kuweka media basi[emoji1787]

2. Maturity date ya cheque haionyesh inaingia lini kwenye account ipi.

3. Bank name hakuna hata kama ni sample cheque

SIMBA bana [emoji1787]

View attachment 1909055
Zeruzeru mkalia tako moja tumeamua kumpuuza tu. Mzee Tozi alimfanya kitu mbaya sana
 
Hatudili na upuuzi sisi sio kama mambumbumbu wa Yanga ambao mnaambiw majibu ya Morrison tar 24 halafu badala ya kuletewa majibu mnaletewa Manara alokuwa anawatukana kila aina ya Tusi, hayo maswali angeuliza wakati yupo kwa mumewe aliyemtoa bikra (SIMBA SPORTS CLUB) siyo baada ya kutalikiwa na kwenda kwa bwana mwingine ndo anajifanya kuuliza, we can't argue with such kind of stupidity na hata kuandika hivi tupu nimeheshimu uwezo wako mdogo nikaona kutoe tongotongo and by the way is he there for SIMBA or YANGA?..if Yanga bas astik kwenye kuizungumzia club yake mpya and not US, by the way list ya vilabu 40 bora Africa imetoka Go n Check.
Asipopararalizi na hili jibu atakua na damu ya Alliens
 
Nadhani Lipo Tatizo kubwa sana kwenye hii cheque [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

1. Iyo cheque inakua authorize kwa signature upande wa kushoto [emoji15] lakin kwakua anaitoa mfuko wa kushoto kuingza mfuko wa kulia ndio maana labda na hakutakiwa kuweka media basi[emoji1787]

2. Maturity date ya cheque haionyesh inaingia lini kwenye account ipi.

3. Bank name hakuna hata kama ni sample cheque

SIMBA bana [emoji1787]

View attachment 1909055
Ulishawahi kushika cheque au unaonaga cheque kama hizo kwenye picha?
 
Nadhani Lipo Tatizo kubwa sana kwenye hii cheque [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

1. Iyo cheque inakua authorize kwa signature upande wa kushoto [emoji15] lakin kwakua anaitoa mfuko wa kushoto kuingza mfuko wa kulia ndio maana labda na hakutakiwa kuweka media basi[emoji1787]

2. Maturity date ya cheque haionyesh inaingia lini kwenye account ipi.

3. Bank name hakuna hata kama ni sample cheque

SIMBA bana [emoji1787]

View attachment 1909055
Konde boy tunamtambulisha wananchi day!!
 
Nadhani Lipo Tatizo kubwa sana kwenye hii cheque [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

1. Iyo cheque inakua authorize kwa signature upande wa kushoto [emoji15] lakin kwakua anaitoa mfuko wa kushoto kuingza mfuko wa kulia ndio maana labda na hakutakiwa kuweka media basi[emoji1787]

2. Maturity date ya cheque haionyesh inaingia lini kwenye account ipi.

3. Bank name hakuna hata kama ni sample cheque

SIMBA bana [emoji1787]

View attachment 1909055

Hiyo sio cheque ni mfano wa cheque acheni kupotosha mambo
 
Dada yangu uko nyuma ya wakati sana. Hii ishu tulimalizana nayo kitambo sana huku. Rudi insta mkaendelee na umbea maana mko nyuma ya matukio sana.
Nimekuongezea material nenda sasa.

20210801_135827.jpg


20210803_153718.jpg
 
Hiyo siyo cheque ni ceremonial, siyo cheque halisi.
Mimi Yanga ila Haji huwa anajiona anajua sana wakati kwa kweli hizi clubs siyo caliber yake.
Angebaki hukohuko na kina AJIB.
 
Back
Top Bottom