wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Wapi huko mkuu.. kule walishaona sio tena mahali sahihi kwa kazi zake ndiyo maana wakamtupia virago.Hiyo siyo cheque ni ceremonial, siyo cheque halisi.
Mimi Yanga ila Haji huwa anajiona anajua sana wakati kwa kweli hizi clubs siyo caliber yake.
Angebaki hukohuko na kina AJIB.
Bro samahani lakini, hebu jaribu kuangalia vineno vya kiingreza ulivyoweka kwenye hii comment Grammer imekaaje. Otherwise andika kiswahili tu utaeleweka.Hatudili na upuuzi sisi sio kama mambumbumbu wa Yanga ambao mnaambiw majibu ya Morrison tar 24 halafu badala ya kuletewa majibu mnaletewa Manara alokuwa anawatukana kila aina ya Tusi, hayo maswali angeuliza wakati yupo kwa mumewe aliyemtoa bikra (SIMBA SPORTS CLUB) siyo baada ya kutalikiwa na kwenda kwa bwana mwingine ndo anajifanya kuuliza, we can't argue with such kind of stupidity na hata kuandika hivi tupu nimeheshimu uwezo wako mdogo nikaona kutoe tongotongo and by the way is he there for SIMBA or YANGA?..if Yanga bas astik kwenye kuizungumzia club yake mpya and not US, by the way list ya vilabu 40 bora Africa imetoka Go n Check.
Bro samahani lakini, hebu jaribu kuangalia vineno vya kiingreza ulivyoweka kwenye hii comment Grammer imekaaje. Otherwise andika kiswahili tu utaeleweka.
Nguvu ya kuikataa SIMBA anaitoa wapi?...haji kaleta wivu wa mapenzi kwa babra alitaka yeye ndo akalie mshedede wa Mudi kama alivyokalia wa mzee ToziHaji hakufukuzwa Simba, Yeye ndie aliye ikataa Simba baada ya kugundua demu wa Mudi ana nguvu kuliko nguvu ya wanachama.