Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Ni lichezaji la MAKOLOKOLO FC linaloongoza kutetemeka hovyo hovyo tu likikosa penati langoni kwa mpinzani [emoji1787]
Huyu alimzuia Mayele. vipi Sakho, Chama, Morisson na Mugalu wametupia magoli mangapi leo?
Msimalize maneno yote, Kuna mechi ya FA inakuja. Alafu Mayele Alisha wafunga Simba kwenye Ngao ya jamii.Mayele ni overrated.
Imekuwa ngao ya jamii tena.Sio tarehe 30 kubali tu mayele aendelee kutamba kwa geita gold azamu na namungo sio kwa timu kubwa.Msimalize maneno yote, Kuna mechi ya FA inakuja. Alafu Mayele Alisha wafunga Simba kwenye Ngao ya jamii.
AlimzuiaHuyu alimzuia Mayele. vipi Sakho, Chama, Morisson na Mugalu wametupia magoli mangapi leo?
Ndio maana mechi imeisha sare kwasababu kila timu wameweza kudhibiti hatari. Kibwana kamsababisha hadi Morrison atolewe. Sakho aloyekuwa anaimbwa kuwa level zake ni kimataifa hadi ufaransa wanamtaja leo kageuka Sakhosi. Washabiki wa Simba mnasifiana ujinga kwasababu mlikuja kwa lengo la kuzuia magoli tu na ndio maana mnafurahia mnaona kama mmewakomesha Yanga hawajapata goli. Hizi ndio zilikuwa mindset za Yanga kipindi cha zamani ikiwa ni underdog kwa Simba walikuwa wanasherekea sana sare kana kwamba ndio ushindi kwao. Siku hizi imekuwa zamu yenu kuwa underdog kwa YangaKama aliyotupia mayele, fei, Ntibazonkiza na Auchio
Amefanya kazi nzuri[emoji853][emoji853][emoji853]View attachment 2206479
Unatuchagulia wa Kuwasifia..Mmefikia hatua ya kusifu beki sio Chama, Bocco, Kagere