Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,592
- 2,629
Sasa kama timu nzima ya Simba ilimzuia Mayele tu huoni kuwa ninyi huko kimataifa mtatia aibu kuu maana hakuna wachezaji wengine wanaoweza kuipa timu matokeo ikiwa Mayele hayupo? Yaani kwa lugha rahisi ni kwamba wachezaji wenu wengi ni mizigoAlivyozuiwa mayele ndivyo hivyo hivyo walivyowekwa mfukoni wachezaji 4 wa simba na kibwana shomari, Chama, Morrison, kibu denis, na sakho wamekuwa mlenda mbele ya bwana mdogo na hapo tusemeje sijui
Unaongea kama umekatwa kichwa, Simba kwenye mechi za klabu bingwa macho yenu yalikuwa kwa Sakho, ndio tegemezi wenu upande wa ushambuliaji. Hakuna timu inayokosa key players.Sasa kama timu nzima ya Simba ilimzuia Mayele tu huoni kuwa ninyi huko kimataifa mtatia aibu kuu maana hakuna wachezaji wengine wanaoweza kuipa timu matokeo ikiwa Mayele hayupo? Yaani kwa lugha rahisi ni kwamba wachezaji wenu wengi ni mizigo
Mtu ya kazi hiii[emoji853][emoji853][emoji853]View attachment 2206479
Mayele magoli 12, Mpole magoli 11; Mayele hana hata hat trick 1, mechi alizofunga magoli 2 hazifiki 3, hivyo ni ukweli kuwa Mayele is overated ingawa kibongo-bongo ni mshambuliaji mkali.Msimalize maneno yote, Kuna mechi ya FA inakuja. Alafu Mayele Alisha wafunga Simba kwenye Ngao ya jamii.
Kwahiyo Kufunga hat trick ndio kigezo cha kuwa mfungaji mkali?Mayele magoli 12, Mpole magoli 11; Mayele hana hata hat trick 1, mechi alizofunga magoli 2 hazifiki 3, hivyo ni ukweli kuwa Mayele is overated ingawa kibongo-bongo ni mshambuliaji mkali.
Vv
Sijui mnaelewa au mnakurupuka mpira hamfuatiliagi. Kuingia kwenye mechi kama underdog hakumfanyi tumu underdog isiizidi timu iliyokuwa favoured kupata matokeo. Mechi ya Bayern Munich vs Villareal, ni Villareal ndio walikuwa ni underdog lakini kilichotokea kinajulikana.
Mechi ya leo Simba ndiye aliyeingia kama underdog na ndio maana ni kwa mara ya kwanza leo yanga kupewa point nyingi za kushinda kuliko simba na makampuni ya kubeti