Walau kuna kadefence akachojitambua kwa sehemu, mbali na hapo wangekuwa wanapigika tu mwanzo mwisho, naziona Sare nyingi kwa Simba unless baba yao tff awabebe.Mwaka wa mateso huu kwa mbumbumbu fc. Yaani kuanzia sasa utakuwa ni mwendo tu wa vichapo, au sare! Kuhusu ushindi, wasahau.
Kwahiyo ulichofurahia ni kukandwanaoJIBU ni Kukandwanao mkuu!