UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,753
- 12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!
Nawakumbusha tu Makolo a.k.a Madunduka ya kwamba jamaa aliyewafunga kamoja anaitwa Akandwanaho na yeye bila ajizi ameamua kuwakanda nao!
Hivi Ulishakandwa nao? Usithubutu kukutwa!
Pia niwape taarifa Madunduka ya kwamba kituo kifuatacho ni kwa wana lambalamba, nina uhakika watawalamba ki kweli kweli!
Nawakumbusha tu Makolo a.k.a Madunduka ya kwamba jamaa aliyewafunga kamoja anaitwa Akandwanaho na yeye bila ajizi ameamua kuwakanda nao!
Hivi Ulishakandwa nao? Usithubutu kukutwa!
Pia niwape taarifa Madunduka ya kwamba kituo kifuatacho ni kwa wana lambalamba, nina uhakika watawalamba ki kweli kweli!