MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
......Unapokuwa unampeleka huko hotelini huwa unamwambia twende tukado?......au unaassume tu kuwa kwa kuwa amekubali kuingia na wewe hotelini kwako ni ishara tosha kuwa amekubali ku-do??Yani mademu huwa wanauzi sana, unamwomba fresh mnakubaliana. Mnapanga appointment mnakwenda kwa lengo moja la kudo. Unachukua hoteli mnaingia ndani ana anza kusumbua eti hataki tena hajajiandaa!!! Anakuja kupa baaaaaaaaaaaaaaaaaadae!! Kwanini lakini? Tukifika si utoe tu?
kuwa muwazi umshirikishe kama ni appointment yenu ya kwanza vinginevyo hata akikataa ni haki yake,chumbani si kwa ajili ya ngono tu hata mazungumzo tulivu pia ni sehemu yake.Zile enzi za mieleka ili mradi mpo wawili chumbani hazipo usijeshitakiwa kwa kubaka tutakusahu humu.
mkubaliane kwanza sio kumvuta mbuzi kamba kumpeleka machinjion wakati hujajua kama kuna vizuizi gani mbeleni
Badili style kiongozi
Asante mami...utadhani na mimi nilikuwepo!mademu zako mabangua kichwa ndo wwanakubore lizzy hajakuboa...
18-23 wanawake 100+ waliotoa mimba????
Hapana Lizzy mnabore sana
Asante mami...utadhani na mimi nilikuwepo!
.............I am thanking YOU for through your UNCONDITIONAL LOVE, I am REJUVENATED...........Unapokuwa unampeleka huko hotelini huwa unamwambia twende tukado?......au unaassume tu kuwa kwa kuwa amekubali kuingia na wewe hotelini kwako ni ishara tosha kuwa amekubali ku-do??
Be a gentleman bwana ndo mana mademu wanakutosa unabaki na chuki binafsi ah...........
Mi unankera na mithread yako (Si uombe msaada usaidiwe??)
Usimsikilize...........come this wayahhh sjui ana nini uyu
ivi ana madada kweli?
ana mama uyu?
yan dzain akimka asubui anapanda juu ya paa na anapayuka ..wanawake woooooooote wap.mb.v.uu
mwambie uyooooooooooonaomba nijipitie bila kucomment maana wadau wanalalamika na post zako mkuu ya kwamba unawaandama sana wa bi-dada
......Unapokuwa unampeleka huko hotelini huwa unamwambia twende tukado?......au unaassume tu kuwa kwa kuwa amekubali kuingia na wewe hotelini kwako ni ishara tosha kuwa amekubali ku-do??
Be a gentleman bwana ndo mana mademu wanakutosa unabaki na chuki binafsi ah...........
Mi unankera na mithread yako (Si uombe msaada usaidiwe??)
Usimsikilize...........come this way
halafu nimeku-miss ile mbaya!
St. anna ni juu ynagu......u-taxi driva ufanye lojistiki mwenyewe.
Usimsikilize...........come this way
halafu nimeku-miss ile mbaya!
St. anna ni juu ynagu......u-taxi driva ufanye lojistiki mwenyewe.
yani mademu huwa wanauzi sana, unamwomba fresh mnakubaliana. Mnapanga appointment mnakwenda kwa lengo moja la kudo. Unachukua hoteli mnaingia ndani ana anza kusumbua eti hataki tena hajajiandaa!!! Anakuja kupa baaaaaaaaaaaaaaaaaadae!! Kwanini lakini? Tukifika si utoe tu?
nataka nafas na wewe...just 2of us ..lin waja gheto?
......Unapokuwa unampeleka huko hotelini huwa unamwambia twende tukado?......au unaassume tu kuwa kwa kuwa amekubali kuingia na wewe hotelini kwako ni ishara tosha kuwa amekubali ku-do??
Be a gentleman bwana ndo mana mademu wanakutosa unabaki na chuki binafsi ah...........
Mi unankera na mithread yako (Si uombe msaada usaidiwe??)
.............I am thanking YOU for through your UNCONDITIONAL LOVE, I am REJUVENATED.....
Tell him what he doesnt know.............and you are gud at it. THANK YA!!!
Babu we acha tu.....manenei is another thing bana........Yaani I just wish GOD could give every human beeng this feeling am having......Manenei... Manenei....Aaahaaa!Anahitaji ile lecture ya Manenei....Manenei...aah!!!
I will call......btn me and ya. digidigihatakiwi kusikia haya.nataka nafas na wewe...just 2of us ..lin waja gheto?
she is this side already........we endelea na lulu tu.Oohh you want to go to BIGIRITA'S WAY