Anajifannya hataki kumbe anataka

Anajifannya hataki kumbe anataka

Yani mademu huwa wanauzi sana, unamwomba fresh mnakubaliana. Mnapanga appointment mnakwenda kwa lengo moja la kudo. Unachukua hoteli mnaingia ndani ana anza kusumbua eti hataki tena hajajiandaa!!! Anakuja kupa baaaaaaaaaaaaaaaaaadae!! Kwanini lakini? Tukifika si utoe tu?
......Unapokuwa unampeleka huko hotelini huwa unamwambia twende tukado?......au unaassume tu kuwa kwa kuwa amekubali kuingia na wewe hotelini kwako ni ishara tosha kuwa amekubali ku-do??

Be a gentleman bwana ndo mana mademu wanakutosa unabaki na chuki binafsi ah...........

Mi unankera na mithread yako (Si uombe msaada usaidiwe??)
 
kuwa muwazi umshirikishe kama ni appointment yenu ya kwanza vinginevyo hata akikataa ni haki yake,chumbani si kwa ajili ya ngono tu hata mazungumzo tulivu pia ni sehemu yake.Zile enzi za mieleka ili mradi mpo wawili chumbani hazipo usijeshitakiwa kwa kubaka tutakusahu humu.
mkubaliane kwanza sio kumvuta mbuzi kamba kumpeleka machinjion wakati hujajua kama kuna vizuizi gani mbeleni
Badili style kiongozi

gud
 
18-23 wanawake 100+ waliotoa mimba????

ahhh sjui ana nini uyu
ivi ana madada kweli?
ana mama uyu?
yan dzain akimka asubui anapanda juu ya paa na anapayuka ..wanawake woooooooote wap.mb.v.uu
 
naomba nijipitie bila kucomment maana wadau wanalalamika na post zako mkuu ya kwamba unawaandama sana wa bi-dada
 
......Unapokuwa unampeleka huko hotelini huwa unamwambia twende tukado?......au unaassume tu kuwa kwa kuwa amekubali kuingia na wewe hotelini kwako ni ishara tosha kuwa amekubali ku-do??

Be a gentleman bwana ndo mana mademu wanakutosa unabaki na chuki binafsi ah...........

Mi unankera na mithread yako (Si uombe msaada usaidiwe??)
.............I am thanking YOU for through your UNCONDITIONAL LOVE, I am REJUVENATED.....

Tell him what he doesnt know.............and you are gud at it. THANK YA!!!
 
ahhh sjui ana nini uyu
ivi ana madada kweli?
ana mama uyu?
yan dzain akimka asubui anapanda juu ya paa na anapayuka ..wanawake woooooooote wap.mb.v.uu
Usimsikilize...........come this way

halafu nimeku-miss ile mbaya!
St. anna ni juu ynagu......u-taxi driva ufanye lojistiki mwenyewe.
 
......Unapokuwa unampeleka huko hotelini huwa unamwambia twende tukado?......au unaassume tu kuwa kwa kuwa amekubali kuingia na wewe hotelini kwako ni ishara tosha kuwa amekubali ku-do??

Be a gentleman bwana ndo mana mademu wanakutosa unabaki na chuki binafsi ah...........

Mi unankera na mithread yako (Si uombe msaada usaidiwe??)

Yaani mimi hata kusoma thread zake nasiki uvivu kila kukicha wanawake/mademu!!

Ananiudhi mimi huyu!!!
 
Usimsikilize...........come this way

halafu nimeku-miss ile mbaya!
St. anna ni juu ynagu......u-taxi driva ufanye lojistiki mwenyewe.

saa 12 nkitoka gym aka ka martin kanataka tuonane labda sema wap utakuwa tuwe pamoja?
miss u2
 
Usimsikilize...........come this way

halafu nimeku-miss ile mbaya!
St. anna ni juu ynagu......u-taxi driva ufanye lojistiki mwenyewe.

nataka nafas na wewe...just 2of us ..lin waja gheto?
 
yani mademu huwa wanauzi sana, unamwomba fresh mnakubaliana. Mnapanga appointment mnakwenda kwa lengo moja la kudo. Unachukua hoteli mnaingia ndani ana anza kusumbua eti hataki tena hajajiandaa!!! Anakuja kupa baaaaaaaaaaaaaaaaaadae!! Kwanini lakini? Tukifika si utoe tu?

konklusheni ni kuwa uligongwa hapo
 
......Unapokuwa unampeleka huko hotelini huwa unamwambia twende tukado?......au unaassume tu kuwa kwa kuwa amekubali kuingia na wewe hotelini kwako ni ishara tosha kuwa amekubali ku-do??

Be a gentleman bwana ndo mana mademu wanakutosa unabaki na chuki binafsi ah...........

Mi unankera na mithread yako (Si uombe msaada usaidiwe??)

Anahitaji ile lecture ya Manenei....Manenei...aah!!!
 
.............I am thanking YOU for through your UNCONDITIONAL LOVE, I am REJUVENATED.....

Tell him what he doesnt know.............and you are gud at it. THANK YA!!!

Actually My Baby Boy is still very young, he doesn't know anything so am starting point A............... Missing you Lover Boy!!
 
Anahitaji ile lecture ya Manenei....Manenei...aah!!!
Babu we acha tu.....manenei is another thing bana........Yaani I just wish GOD could give every human beeng this feeling am having......Manenei... Manenei....Aaahaaa!
 
Back
Top Bottom