Inawezekana hakukucheki freshi wakati unamtongoza, so mnapo fika chumbani kukucheki vizuri ana sema daymn , mbona jamaa ni kama a zombie, basi ana kunyima.
Pia inawezekana mbaka mna fika chumbani, ile mouth wash ulio sukutua imesha kwisha nguvu ,matokeo yake una bad breath ,basi demu anaona dah hapa ni hapakalili.
Sababu nyingine inawezekana wakati unamtongoza ulikua so romantic demu aka kuzimia kwa ,hilo ila kwakua umeshaona umeshampata hadi kumpeleka chumbani , basi ukajioneysha uhalisia wako kuwa hauna cha uromantic wowote , wewe unacho taka ni kum sugua tuu, basi demu akatoa nje , ndipo ulipo anza tena kua romantic na ndio demu akalegea .