Anajisaidia kinyesi kingi sana

Anajisaidia kinyesi kingi sana

Benokolongokonongose

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2012
Posts
213
Reaction score
52
Habari zenu wapendwa katika JF!
Binamu yangu ana miaka 35. Analalamika kuwa anajisaidia kinyesi kingi na anaogopa hali hii. Na sisi tunaona akiingia chooni hadi kutoka inahitaji uvumilie kama unataka kuingia. Je atakuwa na ugonjwa au ni hali inayotokea wengi?Shukrani wakuu
 
Kunradhi unaweza kutupatia kapicha walau in passport size? Na hili tatizo limekuanza lini (wewe binamuyako)
 
Binamu yako ndio akuadithie mambo ya chooni? Usione soo kama ni wewe mbona haina shida!! Kunya kingi it means unakula makapi mengi kuliko nutrients!
 
Weka picha ya kinyesi tuone wingi wake halafu ntakushauri.
 
Nina wasiwasi inawezekana mnyaji ni wewe. Maana kwa desturi zetu sidhani kama binamu anaweza akafunguka kiasi hicho. Iwe ni wewe au binamu yako,kuna mada imewahi kuletwa hapahapa tukachangia sana. Tafuta mada hii:
Kunya mavi mengi kupita kiasi huwa inanitia hofu.
Kama sikosei ilikuwa na kichwa hicho. Kwenye afya tunatakiwa kuwa wayi kwa ufanisi wa tiba. 'Ni bora kubainisha kipi kinakutisha'- Profesa J
 
Punguza kula wanga ya nafaka kwa wingi.

Habari zenu wapendwa katika JF!
Binamu yangu ana miaka 35. Analalamika kuwa anajisaidia kinyesi kingi na anaogopa hali hii. Na sisi tunaona akiingia chooni hadi kutoka inahitaji uvumilie kama unataka kuingia. Je atakuwa na ugonjwa au ni hali inayotokea wengi?Shukrani wakuu
 
Nimecheka sana uwiii.

Unajua watu wengine wanakosa tiba kwa kusingizia maradhi wasiyokuwa nayo...utakuta jitu zima linaugua (kunradhi) alafu linaenda 'hospito' na kumwambia dokta mwanangu anaumwa meno,utaachaje kupewa dawa ya kideri akati una kishipa loh
 
Mkuu inabidi kuanza kuchimba shimo lingine la choo, ushauri wa bure
 
Mkuu inabidi kuanza kuchimba shimo lingine la choo, ushauri wa bure

JF imeniondolea uchovu wote wa leo. Mkuu Idd umenichekesha sana. Lakini ushauri wako una Logic (mantiki) maana kama mtu anajisaidia kingi utachimba tena sio muda. Lakini, kwa kuwa kuna cocacola hatuna haja ya kuchimba vyoo siku hizi ni kujiingiza katika gharama isiyo na sababu.
 
Back
Top Bottom