Benokolongokonongose
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 213
- 52
Habari zenu wapendwa katika JF!
Binamu yangu ana miaka 35. Analalamika kuwa anajisaidia kinyesi kingi na anaogopa hali hii. Na sisi tunaona akiingia chooni hadi kutoka inahitaji uvumilie kama unataka kuingia. Je atakuwa na ugonjwa au ni hali inayotokea wengi?Shukrani wakuu
Binamu yangu ana miaka 35. Analalamika kuwa anajisaidia kinyesi kingi na anaogopa hali hii. Na sisi tunaona akiingia chooni hadi kutoka inahitaji uvumilie kama unataka kuingia. Je atakuwa na ugonjwa au ni hali inayotokea wengi?Shukrani wakuu