you can do that more better from HQ where you belongYou can write better than this
huo ni ukweli mtupu gentlemanEndelea kuhisi
Km wwni kwanini baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema watu hawavai bullet proof vest?
lakini pia kwanini matukio ya utekaji na vijana kupotelea chadema HQ yameisha baada ya uchaguzi wa ndani wa chadema kwisha?
Chadema HQ kuna nina hasa? nani alikua threats kwa wengine?
relax gentleman,Km ww
Sikiliza kwa makini, kabla ya kutoa majina ya watuhumiwa, wewe ndiye unaanza kutaja watuTunasikitika kitendo cha kupotea Kwa binadamu wenzetu.
Ila kutoa tuhuma Kwa mtu ,eti anajua walipo inaleta ukakasi.
Je,tupo tayari kutoa ushahidi ikiwa tutaitwa mahakamani?
Huyo mjinga mimi nilimu ignore kitambo sanaYou can write better than this