steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Aweke 200m treasury bonds za Serikali kwani Serikali haifilisiki labda mabwege Ugiriki walibugi mahali,kwani kwa mwezi hakosi kama kamshahara vile cha takribani 1.7m,iliyobaki anunue hizi bajaj zote,haina shida,ila usimamizi wa karibu ni muhimu