Akanunue bonds za serikali Kuna mnada mwezi October, Tena anunue ile ya miaka 25 ya interest rate kwa 15.94%
Aweke milion 200 tu atulize kichwa
200,000,000 x 15.94/100 = 31,000,000 Tsh kwa mwaka.
Utakuwa unapewa milion 31 kwa miaka 25. Na baada ya miaka 25 utarudishiwa Principal yako ya milion 200,000,000.
Nimekupata huu ushauri kwasababu anahitaji biashara yenye low risks kams hii.