Anakaribia kurithi 300M, hajui biashara ya kufanya, je, ushauri niliompa ni sawa?

Aangalie maeneo yanayokua kwa shughuli za ujenzi aweke maduka ya hardware na ya vifaa vya umeme.Na awe na bei yenye ushindani atafurahi
 
Kama ni mtu anaweza kuendesha maisha bila kutegemea hiyo hela, ningemshauri awekeze kwenye Treasury Bills kwanza ili kupunguza pressure na ajipe muda wa kutafuta investment nzuri. For now asiombe sana ushauri kwa kila mtu maana watu wakijua una hela wapo tayari kukuingiza kwenye investment mbovu ili tu na wao wanufaike. Lastly asikubali kufanya biashara za kushirikiana ambazo yeye atakuwa mgeni.
 
Ni nzuri. Lakini kuweka bond na serikali kwa makubariano ya miaka 25 ni mingi sana. Lolote linaweza kutokea hapa katikati,kama kupanda kwa thamani ya bond. Ksbb unakuwa umejifunga na mkataba mrefu kwa 15.94% hata thamani ya mambo yanayohusiana na pesa ikabadirika ikawa juu,wewe bado unabakia hapo. Pili kuna biashara inaweza ikapatikana hapa katikati ya kuingiza kiwango kizuri,mkataba unakufunga wa miaka 25,huwezi kubadiri. Japo ni nzuri lakini iwe hata kwa miaka 10,10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…