Anakataa kufanya tendo, tatizo nini?

Anakataa kufanya tendo, tatizo nini?

Umedanganywa ndugu, Ukimwi bado upo, hauna dawa na kikombe cha babu kimedunda! subiri ukue, uoe, ufanye unachokijua. Umalaya sio fani.
 
Du kaka is not true kiukwel hana hzo mambo kabisa but cjajua tatzo nin kunbania ile chakula yetu!
 
Du asanteni wadau kta input zenu may God bles all of u abundandly thanx
 
Habari wanajamiiforums" nina mpenz wangu ninampenda sana, lakin ikifika wakati ninapotaka kula tunda huwa ni mkari na hubadilika hadi sura,muda mwingine huniruhusu lakin ninapojaribu kuinsert tu huruka na kubana mapaja, kiukwel huwa cpendi kutumia nguvu na kuamua kumuacha" bila kufanya ile mambo, please naombeni kwenu maujuzi juu ya suala hili,

Inawezekana dudu yako ni kuuubwa ndo mana mtoto wa watu anaogopa!
 
Du kaka is not true kiukwel hana hzo mambo kabisa but cjajua tatzo nin kunbania ile chakula yetu!



mikung'ute katerero..yaani shika mashine mpige brush! kama mara 30 utasikia akipiaga ukelele uuuwiiiiiiiiiiiii! mkwaju uwe haujadumu(kidumu) iwe 50/50 ama hata kati ya asilimia 70 na 85

kumbuka katerero
!
 
Du kaka is not true kiukwel hana hzo mambo kabisa but cjajua tatzo nin kunbania ile chakula yetu!

kumbe huna maana hata kidogo, hujaoa afua wang'ang'ania uchi wa mwenzio kaka mwanamke si chombo cha starehe, soma kwanza baadae ukioa atakuwa wako na hakutakuwa na purukushani hapo, kwanza huyo dada naye anahitaji kusoma acha kutaka kuchezea mwili wake ye si mashine ya we ku..........
 
mikung'ute katerero..yaani shika mashine mpige brush! kama mara 30 utasikia akipiaga ukelele uuuwiiiiiiiiiiiii! mkwaju uwe haujadumu(kidumu) iwe 50/50 ama hata kati ya asilimia 70 na 85

kumbuka katerero
!

pouwa bro thanx
 
Distance your self from her kwa muda and try to be busy. am sure atajileta mwenyewe na atakupa yote. It is just a matter of time.
 
Distance your self from her kwa muda and try to be busy. am sure atajileta mwenyewe na atakupa yote. It is just a matter of time.

thanx my brother i real apreciate your input it shows how critical thinker you are be blessed" may God be with us löng live with succes!
 
Tatizo ni promo.. komaa kama wale watu wa promosheni za kuuza peni au majug maofisini ulikuwa umeshafika mbali mpaka kwenye mambo cjui ya kuinsert halafu hakuna show..
 
Back
Top Bottom