Ndo maana wana wivu mm mmoja wa huko huko ana wivu balaa kuna siku kajidai ananipigia cmu kabadili line kampa dada mmoja aongee kwa niaba akajitambulisha anaitwa Recho akawa ananitongoza kuwa eti amenipenda sana nikamuuliza wewe Recho wa wapi? Akasema anaishi Tabata mm unanifahamu akadai ehee dah mtu mzima nikasema hili zali toka nizaliwe sijawahi tamkiwa hivi na mwanamke yaani anitongoze live live hivi any way tukaendelea kuchonga huyo Recho akawa anabana kweli kweli pua mtu mzima suruali ikabana nikamwambia poa tutawasiliana nipo kwenye tuk tuk nawahi Tipo top pale pale akadai huyo demu wangu Msambaa wache aniwakie akanipiga kibuti hapo hapo mm nikasema powa haina shobo na mm nakata kamba ya misaada tuone mjini hapa utaishije kwani wiki iliisha akaanza kujirudi anaomba msamaha nimsamehe ulikuwa wivu tu na mm nikaweka ngumu mpaka kesho anazidi kupauka tu mjini.