Anakoelekea Eric omondi sio kabisa

Jamani hapa tuwekane sawa kidogo,nikwamba hicho kibinda kilichobinuka nichake kweli au kajaza bidhaa flani
 
It's a talent for money, that's why you can't manage even a single minute!
 
Simu yangu ilinionesha picha nusu kama hivi

Nikaanza kujenga picha sura ya huyu mrembo itakuaje

Nilichokikuta sasa....
 
Hata marekani ilianza kama utani bhana. Kumbeeeee. Kuna wafadhili nyuma ya pazia wanasukuma hii kitu ikae kene TV
 
kwan ni mwanaume huyo, au device yangu inanizingua
[emoji32][emoji32]
 
haa haa eric bhana.....btw huyo ni comedian na yuko kazini hapo
 
mambo ya ajabu haya khaaa! bora uzae watoto wa kike tu wakuletee wajukuu ila siyo hii fedhea ya midume...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…