BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Mke wa ujana wangu, ufukunyuku umeuanza lini?
Safi, ujasiriamali bana, tatizo anawapiga saundi sana, hayo madude siyo ya leo wala jana, eti hataki hata kuyataja jina watu watamwiga biashara...lol! Hizo ni Magic Wand zinatengenezwa na kampuni ya Hitachi toka miaka ya tisini kama skosei, kasi yake hasa mahususi ni massage, sema wanawake wakagundua wakifanyia massage kwenye ksm inawasisimua, baasi ndiyo zikawa zishageuzwa matumizi, zipo amazon ni kama $50, yeye anauza $140 kwa hiyo ukitoa nauli hapo anabakiwa na kama $50, maisha yanaendelea!
vifanyio ndo habar ya mujini kwa sasa....soko la dushe hatarini kufa....hee hee asante wazungu kwa ubunifu mujarabu
Ina maana Joyce naye anaitumia Dildo? Ina maana Henry Kilewo (mumewe) hamfikishi panapotakiwa?
ndo maana wanaume wanasingiziwa wana vibamia, hayo madude ni mabingwa ya kuchakaza na kutanua k.
Ukishazoea hilo dude sidhani kana kuna me atakufikisha.
Poleni me.
Vp kibonde amemaliza ku act tangazo? Sijawah ona muhaya pimbi kama wewe unless unatumia mtu jina lkn mgogo
Ina maana Joyce naye anaitumia Dildo? Ina maana Henry Kilewo (mumewe) hamfikishi panapotakiwa?
Ina maana Joyce naye anaitumia Dildo? Ina maana Henry Kilewo (mumewe) hamfikishi panapotakiwa?
ndo maana wanaume wanasingiziwa wana vibamia, hayo madude ni mabingwa ya kuchakaza na kutanua k.
Ukishazoea hilo dude sidhani kana kuna me atakufikisha.
Poleni me.
ha ha kwa hiyo wanaume wengi ni wanaume suruali???? nauliza tu?
Astaghafillulah!!! naona baada ya kuona matango, vinyago vya mpingo na ndizi mzuzu n.k haviwezi kazi sasa wamehamia kwenye midubwana...