Anakoelekea Joyce Kiria na shosti yake Mange Kimambi siko sasa

Anakoelekea Joyce Kiria na shosti yake Mange Kimambi siko sasa

Anatumia fursa......



Safi, ujasiriamali bana, tatizo anawapiga saundi sana, hayo madude siyo ya leo wala jana, eti hataki hata kuyataja jina watu watamwiga biashara...lol! Hizo ni Magic Wand zinatengenezwa na kampuni ya Hitachi toka miaka ya tisini kama skosei, kasi yake hasa mahususi ni massage, sema wanawake wakagundua wakifanyia massage kwenye ksm inawasisimua, baasi ndiyo zikawa zishageuzwa matumizi, zipo amazon ni kama $50, yeye anauza $140 kwa hiyo ukitoa nauli hapo anabakiwa na kama $50, maisha yanaendelea!
 
Wanahamasisha utalii ama?...kupanda mlima kuna kosa gani?
 
hivi huyu dada ana mume au ndo walewale maana naona anajifanya kujielewa zaidi ya inavyostahili
 
ndo maana wanaume wanasingiziwa wana vibamia, hayo madude ni mabingwa ya kuchakaza na kutanua k.

Ukishazoea hilo dude sidhani kana kuna me atakufikisha.

Poleni me.

Wachakae mara ngapi???!!
 
Mhhh only who can suit me is my Man. anayetaka atumie lakini Mimi akhuuuuuuuuuuuuuuu
 
Vp kibonde amemaliza ku act tangazo? Sijawah ona muhaya pimbi kama wewe unless unatumia mtu jina lkn mgogo

Mkuu polepole huo mdomo wako...ina maana sisi wagogo ndo pimbi? Msh*nz hujitambui we!
 
ha ha kwa hiyo wanaume wengi ni wanaume suruali???? nauliza tu?
 
attachment.php


attachment.php
 
ndo maana wanaume wanasingiziwa wana vibamia, hayo madude ni mabingwa ya kuchakaza na kutanua k.

Ukishazoea hilo dude sidhani kana kuna me atakufikisha.

Poleni me.

Astaghafillulah!!! naona baada ya kuona matango, vinyago vya mpingo na ndizi mzuzu n.k haviwezi kazi sasa wamehamia kwenye midubwana...
 
ha ha kwa hiyo wanaume wengi ni wanaume suruali???? nauliza tu?

Huyo Mange kimambi anatafuta fursa ya biashara tu, yeye mwenyewe kwa ushuhuda wake anadai 'k' yake ni mnato baada ya kufanyiwa surgery ya kurekebisha korongo lake...
 
Mie nawashangaa sana, kitu kinaendeshwa na umeme wanathubutuje kukizamisha? Labda kama mtu hana plan ya kuolewa tena.

Astaghafillulah!!! naona baada ya kuona matango, vinyago vya mpingo na ndizi mzuzu n.k haviwezi kazi sasa wamehamia kwenye midubwana...
 
Back
Top Bottom