Jambo Tz
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 670
- 203
Ndugu zangu naomba msaada wenu wa kimawazo na tiba mke Wangu anaujauzito Wa miezi mitatu kila ikifika joini anapatwa na kikohozi cha ajabu muda Wa dk 35-45 na baada ya hapo anapata ahueni na kupona Kabuisa.
Ametumia dawa kadhaa bila ya mafanikio natumai kupitia Jf kwa uwezo wake Muumba atapatikana mtaalam Wa kunipa maelezo murua yatalayo msaidia wife
Ametumia dawa kadhaa bila ya mafanikio natumai kupitia Jf kwa uwezo wake Muumba atapatikana mtaalam Wa kunipa maelezo murua yatalayo msaidia wife