Hakikisha anaweka kakipande cha Tangawizi iliyomenywa maganda mdomoni.asitafune bali awe anameza mate tu.Afanye hivyo ikikaribia ule muda kikohozi kinapo anza.Anaweza akalala nayo ikiwa mdomoni.Hiyo inasaidia sana
Kila siku nikifungua ukurasa wa kwanza wa tovuti hii habari ni zilezile hakuna mpya!.
Je, huyo mzee wetu Simba alikuwa akitufunga kamba?
Nyumba ndogo yako inamjua mkeo ? Au kuna siku nyumba ndogo imekuja hapo hom kulala au hata kutembea waqt mkeo hayupo ?Nyumba ndogo yako ni mtu wa wapi. Mchunguze sana nyumba ndogo na kipindi hiki cha ujauzito usipende sana kuspend time na huyo kicheche nyumba ndogo. au home wreacker
Unamaanisha kamati ya ufundi imehusika?