msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,786
- 5,963
- Thread starter
- #41
Anayosema gfsonwin ni sahihi..Huyo mdada ana tatizo linaloitwa VESICOVAGINAL FISTULA.
Sehemu ya kizazi cha mwanamke zimekaribiana sana na kibofu cha mkojo/sehemu ya haja kubwa..Kukiwa na uwazi kati ya sehemu hizo kunaweza kusababisha kuvuja kwa mkojo au kinyesi.Dalili ya tatizo hilo ni kutoka kwa mkojo au kinyesi kupitia kwenye vagina (uke).
Inawezekana vilevile akawa ana squirt lakini ikumbuke squirt haitakiwi kuwa na harufu,inamaana huyo mwenza wako bado atakuwa na matatizo vilevile..Nakushauri umpeleke hospitali akapatiwe matibabu haraka iwezekanavyo...Inawezekana akahitaji upasuaji kuziba uwazi huo,na akahitaji ANTIBIOTICS kwaajili ya UTI.
asante sana mkuu..