mmmh upako umetoa wapi na lini ,, pacha wangu hajaniambia hilo
siunajua mm ni babaushauri nilitaka nimfanyie personal prayer
siunajua mm ni babaushauri nilitaka nimfanyie personal prayer
Twin sister mm sijui huyu shemeji yako anatalent ngapi?kila cku ananishangaza tu!nadhani soon ataniambia niite mashosti zangu na nyie ndugu zangu anaanzisha kanisa,jamani andaeni sadaka
Twin sister mm sijui huyu shemeji yako anatalent ngapi?kila cku ananishangaza tu!nadhani soon ataniambia niite mashosti zangu na nyie ndugu zangu anaanzisha kanisa,jamani andaeni sadaka
umesahau fungu la kumi
umepewa bure toeni burehahaaaa huko shem atanikosa....mambo ya kununa fomu ili uombewe sitaki
hahaaaa huko shem atanikosa....mambo ya kununa fomu ili uombewe sitaki
twin,fom unalipia,kumwona unalipia,zen bado mazagazaga kibao!!!!!!!mm mwenyewe naona ntamshindwa kwa mambo hayo
Ama kweli wanaume wakuja mnapenda slope!
mh unanisaliti namna hii utakuwa unabomoa boma
kama kuanzisha kanisa lako!hapana baba huko tusifike kwakweli
sio kanisa langu ni kanisa la mungu kwani anasema nitalijenga kanisa na milango ya kuzimu alitalishinda
pearl na hubby rudini kwenye thread plz.
Kwani huyo jamaa amefunga ndoa ya kikabila/kimila, kiserikali au kidini?
Na ni dini gani? maana dini nyingine huwezi kuoa mara mbili unless mkeo amekufa.
Huyo mke mwenye watoto watatu ana ndoa na jamaaau wameishitu?
Amini kama wameishi tu, kuna uwezekano wa kumuoa huyo dada.
Nawaogopa married men the same way naogopoa nyoka