Mnene 1
Senior Member
- Jan 14, 2010
- 125
- 11
Nadhani kama ndoa imefungwa kanisani, basi haiwezi kufungwa mara mbili kwa mwanamme mmoja.
Huyo dada anajisumbua kwa kusambaza kadi.
wanaweza kuchukuana na kwenda kuishi ila sio kwa kwa kufanya sherehe kama hiyo, hata jamii haitashiriki.
Au huyo dada hajui kama jamaa kaoa nini? Yawezekana kadanganywa.
Huyo dada anajisumbua kwa kusambaza kadi.
wanaweza kuchukuana na kwenda kuishi ila sio kwa kwa kufanya sherehe kama hiyo, hata jamii haitashiriki.
Au huyo dada hajui kama jamaa kaoa nini? Yawezekana kadanganywa.