Anampenda mume watu na hawezi kumuacha


mama mkwe huu mfano ni mzuri sana ka dada yetu ..najua akisoma atajua kuwa unamaanisha nini kwani stori zinashhabiana
 
U have said all dear. Imauma sana aisee usisikie
 
kheee huyu binti anasoma kozi gani hyo miaka 5..KABLA hajazaa kaishi 2 yrs na huyo bwana alivozaa akawa kabakiza 3 yrs amalize shule????mhhh story zingine bana
 
Eh huyo shost wako anapenda kupendwa kiugumu! Yaani kwa hamu kabisa anasubiria kukabidhiwa kipondo milele!! Kweli tumetofautiana!

Mpe pole
 
BPM, I salute you! Uve nailed it perfectly. Na siajabu hivyo vipigo anavyovipata ni wake up call kuwa anamkosea mwanamke mwenzie!
 
kang'ang'ana nini kwa mme wa mtu?
 
kang'ang'ana nini kwa mme wa mtu?
anampenda tu kwa dhati na haoni mwingine yani moyo wake wote umemjaa huyo bwana wa mtu hata akitaka kumwingiza new hawezi kuingia mana nafasi is full ................so labda huyo mpya ndio afanye hiyo kazi ya kumfuta yule mume ndani ya head ya huyo shost tatizo ndio hilo shost anaogopa kumpa nafasi huyu mpya anaogopa naye anaweza kua ka yule tu .............imean kipigo,muongo.na pengine naye kaoa
 
BPM, I salute you! Uve nailed it perfectly. Na siajabu hivyo vipigo anavyovipata ni wake up call kuwa anamkosea mwanamke mwenzie!
duh! may be cwez jua mana hatujui na huyu mke pengine ndio style ya mchagga huyu je mana ni mchagga
 
Eh huyo shost wako anapenda kupendwa kiugumu! Yaani kwa hamu kabisa anasubiria kukabidhiwa kipondo milele!! Kweli tumetofautiana!

Mpe pole
the true love aliyonayo kwa huyo mume wa mtu ndio inayomuua sasa..............yani yy aliingia mazima hakuacha hata kalio moja nje liwe linaangalia upepo waendaje ndio mana kutoka inakua ngumu koz kashanenepea huko ndani so toka yake hadi operation tena mana aliingia mwembamba kanenepea ndani
 
kheee huyu binti anasoma kozi gani hyo miaka 5..KABLA hajazaa kaishi 2 yrs na huyo bwana alivozaa akawa kabakiza 3 yrs amalize shule????mhhh story zingine bana
anasoma public relation mwaka mmoja wa luga minne ya degree ndio ilivo huku
 
lol!!kumbe ni dhambi?
we mbona umekaa kiusutaji zaidd nitakuwashia mishumaa nikusute hapa hadi izime ndio utajua .................................honi haifungui geti babuuuuuuu
 
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…