Anampenda mume watu na hawezi kumuacha

Anampenda mume watu na hawezi kumuacha

ndugu yangu hayatakaa yaishe.Mna ushaidi kwamba anamwacha mahakamani?Huyo jamaa ni muongo wala hana mpango wa kumpa talaka mkewe na yawezekana mkewe hata kibaoi hampigi,huyo rafikiyo nddio punch bag.Kuna mdada mmoja nnamjua(ningetaja kazi yake lakini akiona hii thread atajijua tu na ntamponza asiyehusika)huu mwaka wa nane anasubiria mke apewe talaka ananunuliwa magari na kujengewa nyumba na huyo mme wa mtu lakini kipigo ni mpaka anapelekwa hospital,mkewe hathubutu kumpiga hata kofi. wala kumpa hiyo talaka.

mama mkwe huu mfano ni mzuri sana ka dada yetu ..najua akisoma atajua kuwa unamaanisha nini kwani stori zinashhabiana
 
hakuna cha kipenda roho ni ujinga lakini akumbuke umtendeapo mtu baya malipo yapo ... next time utakuja kutuambia rafikiyo amemfumania huyo mwanaume na atakuwa analalamika wakati yeye anachofanya ni sawa na mauaji hajui huyo mwanamke mwenzake ataathirika vipi kisaikolojia au maisha yake yatakuwaje akimpoteza mume
U have said all dear. Imauma sana aisee usisikie
 
kheee huyu binti anasoma kozi gani hyo miaka 5..KABLA hajazaa kaishi 2 yrs na huyo bwana alivozaa akawa kabakiza 3 yrs amalize shule????mhhh story zingine bana
 
Eh huyo shost wako anapenda kupendwa kiugumu! Yaani kwa hamu kabisa anasubiria kukabidhiwa kipondo milele!! Kweli tumetofautiana!

Mpe pole
 
BPM, I salute you! Uve nailed it perfectly. Na siajabu hivyo vipigo anavyovipata ni wake up call kuwa anamkosea mwanamke mwenzie!
 
kang'ang'ana nini kwa mme wa mtu?
anampenda tu kwa dhati na haoni mwingine yani moyo wake wote umemjaa huyo bwana wa mtu hata akitaka kumwingiza new hawezi kuingia mana nafasi is full ................so labda huyo mpya ndio afanye hiyo kazi ya kumfuta yule mume ndani ya head ya huyo shost tatizo ndio hilo shost anaogopa kumpa nafasi huyu mpya anaogopa naye anaweza kua ka yule tu .............imean kipigo,muongo.na pengine naye kaoa
 
BPM, I salute you! Uve nailed it perfectly. Na siajabu hivyo vipigo anavyovipata ni wake up call kuwa anamkosea mwanamke mwenzie!
duh! may be cwez jua mana hatujui na huyu mke pengine ndio style ya mchagga huyu je mana ni mchagga
 
Eh huyo shost wako anapenda kupendwa kiugumu! Yaani kwa hamu kabisa anasubiria kukabidhiwa kipondo milele!! Kweli tumetofautiana!

Mpe pole
the true love aliyonayo kwa huyo mume wa mtu ndio inayomuua sasa..............yani yy aliingia mazima hakuacha hata kalio moja nje liwe linaangalia upepo waendaje ndio mana kutoka inakua ngumu koz kashanenepea huko ndani so toka yake hadi operation tena mana aliingia mwembamba kanenepea ndani
 
kheee huyu binti anasoma kozi gani hyo miaka 5..KABLA hajazaa kaishi 2 yrs na huyo bwana alivozaa akawa kabakiza 3 yrs amalize shule????mhhh story zingine bana
anasoma public relation mwaka mmoja wa luga minne ya degree ndio ilivo huku
 
Kwani ye wanaume ndo maisha yake? Kwa sasa hivi akitulia bila kuwa na mwanaume atakufa, au wakati akiwa tumboni mwa mama yake alipigwa chata ya mwanaume kwenye moyo wake?? Namshauri kwa sasa aweke kando kwanza hayo mambo ya wanaume, atulize akili apate muda wa kufikiria vizuri na ajipe muda wa kufanya mambo mengine ya muhimu kwake! Really, aachane na hiyo relationship kama anajipenda!
huu ndio ushauri mzuri mi naona utamfaa sasa
 
wewe kipipi sasa unaharibu sherehe ...huyu si kapata mtu ambaye anampenda..na huyo mtu yupo single basi inabidi awe naye kwa mda na waendelee kusomana hai watakapoamua wenyewe waoane lini kwani huyo rafiki yake anatakiwa awe na mtu wa kumshauri na kumliwza
halooooooooooooooooooooo...........................................yataka timing babuuuuuuuuuuuuu we kwanini unang'ang'aniza huyo brand new?????????/
 
Yaani we unaangalia sherehe tu na kuliwazwa? Kwa kipimo kipi hata aweze kuamini kuwa huyo brand new ana mapenzi ya dhati? Haven't u seen that huyo dada yuko dilema the thing that signifies her first step to her poor decisions? I think angetuliza kwanza akili though she can allow just a normal friendship with that other guy!
umenena barabara mpz................me love u more yani ,mnoooooooooooooo
 
Back
Top Bottom