Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
................. duh! je kama wale waliungana kwa bahati mbaya na huyu shost ndio ubavu wake mana ndio shost anaamini ivo hapo je inakuaje wale wadini waseme hapa
hakuna cha bahati mbaya. Wanaume huwa hawaoi ili mradi kaoa. Mwambie shosti asijidanganye.