Nimebahatika kukutana na girl super cue na tukapanga mambo mengi.
Cha ajabu tukapanga tukutane one day ili kubadilishana mawazo akaniomba nimjie na zawadi kwa bahati mbaya hakuiependa hiyo alikuwa anahiitaji. Nikajitetea tutakwenda weekend akachague. Baadaye ananitext kwamba cwezi kumdharau kiasi kile. Akaomba tuachane. Jamani hii imekaaje ushauri plz
ulimpa zawadi gani?
Ya gharama sana. Na namshangaa kwa kushindwa kuona jinsi nilivyomjali, anabeep nampigia.
Hadi sasa zawadi nimeirudisha dukani na bado cjapata mtu wa kumpa na muuzaji anasema hawezi kurudisha pesa. Hivyo kama msichana yuko tayari tuwasiliane nimpe for free kama zawadi 0712-756-743
Nimebahatika kukutana na girl super cue na tukapanga mambo mengi.
Cha ajabu tukapanga tukutane one day ili kubadilishana mawazo akaniomba nimjie na zawadi kwa bahati mbaya hakuiependa hiyo alikuwa anahiitaji. Nikajitetea tutakwenda weekend akachague. Baadaye ananitext kwamba cwezi kumdharau kiasi kile. Akaomba tuachane. Jamani hii imekaaje ushauri plz
Hili ni swali la msingi sana ambalo tunapaswa kumuuliza huyu bwanaulimpa zawadi gani?