Ananiingiza hasara duka langu!!, anatia huruma usoni, sina ujasiri wa kumfukuza, nipeni mbinu kumfukuza!!!

kila la kheri but cctv sio suluhisho,trust me...kaa nae dukani uone nini haswa kinatolea
Kwangu hio likizo ya wiki siwezi ukipata kwa sasa, naamini CCTV ndio itasaidia maana kila mzigo utaouzwa ntauona na idadi pia ntajua ni kiasi kipi kinatakiwa niwe kimelipwa, ila muhimu zaidi ni kwamba hili eneo kuna wezi kwahio kwa namna moja au nyingine nahisi kuna wezi na kama wapo na CCTV ikawarekodi basi wajiandae na maisha ya gerezani
 
Sitaki kuhukumu mapema, kesho naweka CCTV inarekodi kila kitu Mimi kazi yangu kupitia tu, kuna mmama amenishauri hiki kitu naye alidhani anaibiwa na muuzaji wake kumbe CCTV iliwanasa wezi ambao walikuwa ni wauzaji wa duka jirani.
Ukiweka kamera itakusaidia sana. Ziweke vizuri zichukuwe pich angles zote na ikiwezekena nyingine zifichwe ili zisionekane. Unapofungua biashara mpya haikosi wezi kunyemelea. Kuna mama mmoja alikuwa anaibiwa wenye maduka ya nguo mpaka waje kumgundua ilichukuwa muda mrefu. Kwanza alikuwa anajifanya anatembeza nguo za jumla kuuza. Na alikuwa na nguo kweli anatembeza ila siyo nyingi, inaweza kuwa shati dazani moja nk. Halafu alikuwa anauza bei nzuri sana. Akifika dukani anakuchangamkia na kukuonyesha mali aliyonayo na bei ni yake ni rafiki sana. Ile unafurahi kuwa umepata mali ya nzuri anakuchanganya na kukwapua mali kutoka kwako. Anakuwa amevaa baibui kwa hiyo anaiweka ndani. Ile yake anakuuzia kwa bei nzuri na yeye anaondoka na mali aliyoiba.
 
Pole sana...

Tatizo una imani sana... na biashara haitaki hivyo...



Cc: mahondaw
 
Ukiendekeza huruma kwenye biashara lazima ufilisike haraka sana

Biashara inahitaji mtu katili Ila Muungwana

Biashara inahitaji ujue kucheza na fitina za sokoni

Biashara inahitaji unjanja wa kuona fursa

Biashara inahitaji watu jasiri sio waoga na goigoi .

Biashara inahitaji commitment nankujitoa sio kufanya imradi tu na wewe una biashara

Mchomoe chap!!

Utakuja jikubali baadae ukifanya maamuzi hayo Sasa .

Huyo anapiga hela hapo dukani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu nmeponea chupuchupu
Kuswekwa stakshar na mtoto wa shangaz
Kisa mambo haya ya kuajiriwa dukan
Nlikoma kabsa na hyo kaz

stidy
 
hahaaah mkuu mbona unachimba mkwara utafikiri wezi wenyewe wapo humu
 

Kipindi unafunga CCTV camera hakikisha hakuna watu wanaojua unafunga nini ata mfanyakazi wako asijue ikibidi mpe mapumziko ya siku moja ufanye ili jambo lako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Inawezekana anaibiwa, hakikisha kabisa pasi nashaka kwamba anaiba na sio kwamba bila kujijua anakosea, pasi na Shaka....

Ukithibitisha tafuta namna ya kumpa ka likizo au vipi akifika huko mtext Acha naye, mie siwezi fukuza, ngumu sana, kuna mdada nilitaka mfukuza nikampa mshahara wa six months ili aende zake!

Ni ngumu sana!
 
Mkuu utafunga hiyo biashara muda si mrefu,na huo si huruma ni uzembe unaofanya

Muache; maisha yatamfunza. Hakuna tajiri mwenye roho nzuri. Ila wabongo hatunaga Mental strength, ni tatizo kubwa sana


Mk54
 
Weng hawajui chuma ulete ni janga kubwa sana limenitesa vibaya mno kila nkifikiria nliumia sana ..nlitakiwa niwe mbl sana lait ngemuwek mtu ningesema ananiibia

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu ukiwaambia wanaona Kama Hadithi..au hatuna shule.... lakini wangejua kua kuna wanaume wanapanda ndege kufuata chuma ulete Nigeria na Malawi na izo chuma ulete zinapitia mauzo kila duka na biashara ambazo hazina kinga na kuchukua hela..hii kitu mkuu nlipigwa adi nikaona dunia chungu .Tena nilipigwa hela ya mtaji +faida kubabake
 
Kodi vijana wawili.

Wavalishe minailoni. Wape na madumu ya fummigation.

Waagize waende kuspray.

Sema duka lina corona.

Anatakiwa apumzike.
 
"Nikadamka...." nilijua ni jina tu, kumbe ni kijana kutoka Mlogolo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kumuonea huruma utavuna mabua. Mimi nafukuza kila siku watumishi akikosea tu no mjadala anafungasha.


Usione Rais MagufuliJP ni mbaya kutumbua. Ni kazi ngumu sana kujenga mfumo huwezi jenga mfumo kwa kuonea huruma wazembe.


Ukiendelea naye utafunga biashara kabisa. You better fire and hire the new one Na mpe principles.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfanyakazi humwambii toka wemwambie biashara imekua ngumu alafu umebanwa kazini kwahyo unataka kuifunga keshokutwa kutokana nahii hali ya korona yeye atakuelewa atasepa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…