IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
Liza Anasema alifanya makosa kingine utoto Tu anasema nilikua mwanaume sahihi kwake mi sijui....... Usikite mbele nami ningekua kivuruge
Anasema nimsamehe Sana akili za kitoto Tu zile maisha kwake ovyo ni magumu Sana nimpe chance again
wakati anajua tayari nina mke iyo chance nampaje kifupi aiwezekani but aishi kunitafuta achoki.
Kweli simvungii tuna wasiliana lakin ishu za mapenz tena hua namkwepa unaweza mfanyia mtu vitimbi Sana siku akisema no ndio no kweli ukiomba msamaha na akasema nimekusamehe Kaa nae makini isiwe ana kuvizia ulale usingiz akupige kisu.
Niliwai letaga Uzi kitambo kidogo,
yupo bi Dada alinichemsha Sana akili alinivuruga mno nilijitahidi Kwa kadri ya uwezo wangu kufanya mengi juu yake ndio Kwanza anakuona bwege flani hivi.
Liza sio jina lake halisi ni kifupi ndio alinipaga maumivu Sana kwenye mapenzi
Lakini ilifika muda moyo ukasema sasa basi usiumie tena nikabwaga mazima japo aliamini Kwa nilivyokua nampenda nitarudi kichhwa chini mikono nyuma.
Hakuamini Mpaka siku nyingi zikapita miezi kadhaa ndio akajua kweli nimeondoka.
Na wale alio amini ndio wa maana anapopata shida wanakaa mbali wapo Kula mzigo na kusepa akuwaona hasa akitangaza matatizo mpaka vocha ikawa ishu kwake kuna siku naamka asubuh nakuta text yake naomba nitumie 1000 nijiunge text Ata sikujibu hii message.
akaanza nitafuta wakati ambao Nisha upumzisha moyo
kutoka kwake nikatua mzigo anakuona saf kwenye shda ukisha tatua ndio mmemalizana kwaheri wala text yake uiyoni na ukiiyona tena ujue nna shida na shilling kadhaa ahaaaaa🤮🤮.
Ukiomba mzigo sababu milioni kidogo aishiwi mara naogopa mimba Sawa kinga zipo ohooo zinaniumiza hasa ayo mafuta ok weka vipandkiz vyenu Ohoo Ivo hapana.
Sometimes ukimuita anakuja lakin yupo down Sana naumwa ni full vizuizi.
Mwisho nikasepa baada ya mateso yote tena Kwa maumivu Sana lakini niliona ni kheri sasa nipo mwenyewe.
Akapigwa mimba mchixi akazama mitini huduma akuna Maisha magumu akawa ana nitafuta nimpige tafu sifichi hua namtumia vijisent Kwa uwezo wangu kuna muda niliendaga Mozambique nikawa natumia line za kule kumbe nae aliendaga Dada Ake alimpa namba yangu ya movitel ambayo nilikua nawasiliana nae yeye Kwa wasap tu sabab ni nchi tofauti kama mnavyojua
akampa mdog Ake nae alikua ana line ya movitel akawa ananipigia huko alikua kwenye mishe za kutafuta. Alikua mgahawani
Kuna siku tulikutana huko huko Mozambique tukapiga story Sana akanitaka nilale niligoma kwamba nimeacha kaz muhim siwez lala Ila nilimkwepa Tu nilijua nin anataka.
Wakati huo nilikua na nunua dhahabu Mozambique then tunakuja Dar kuuza.
Saiz nipo pembezoni mwa jiji la Dar nafanya mishe nae akapata kaz Moro akawa ana nichek simun mambo yaka enda kombo huko kazn kwake akataka aje nilipo sababu anajua nipo Dar nikamdanganya tumesafir baadh tupo shinyanga.
Huku Dar nipo mwenyewe wife yupo mkoa ndio alitak kutumia advantage iyo kuja.
Namwambiaga we bado binti ata 28 years bado muda upo utapata mume sahihi kua na mtoto sio shida Sana japo vijana wa sasa wakikuta mwanamke ana mtoto nduki hua Kali Sana.
Anasema wapo lakini sio Kwa kuoa wanataka kukutumia Tu basii akuna la Zaid ni kheri ningejua ya mbele nisinge kutenda vile Mimi nimsamehe utoto Tu ule.
Kwangu Mimi nilisha move on kitambo Sana nikikumbuka Yale mateso yalishapita.
Nilisha play Sana song la mjeda linex Aifola halafu kuna kile kipande cha
🎶🎶🎵 Yale maumivu ulionipaaa nimesha ya sahaaaaau 🎧🎧
Hule Uzi huo hapo 👇👇unaweza uka upitia taratibu kama ukupata nafasi ya kuusoma mwandiko aukua poa sana. Sjui utakubali nimechomeka Tu hapo huo Uzi
www.google.co.tz
Anasema nimsamehe Sana akili za kitoto Tu zile maisha kwake ovyo ni magumu Sana nimpe chance again
wakati anajua tayari nina mke iyo chance nampaje kifupi aiwezekani but aishi kunitafuta achoki.
Kweli simvungii tuna wasiliana lakin ishu za mapenz tena hua namkwepa unaweza mfanyia mtu vitimbi Sana siku akisema no ndio no kweli ukiomba msamaha na akasema nimekusamehe Kaa nae makini isiwe ana kuvizia ulale usingiz akupige kisu.
Niliwai letaga Uzi kitambo kidogo,
yupo bi Dada alinichemsha Sana akili alinivuruga mno nilijitahidi Kwa kadri ya uwezo wangu kufanya mengi juu yake ndio Kwanza anakuona bwege flani hivi.
Liza sio jina lake halisi ni kifupi ndio alinipaga maumivu Sana kwenye mapenzi
Lakini ilifika muda moyo ukasema sasa basi usiumie tena nikabwaga mazima japo aliamini Kwa nilivyokua nampenda nitarudi kichhwa chini mikono nyuma.
Hakuamini Mpaka siku nyingi zikapita miezi kadhaa ndio akajua kweli nimeondoka.
Na wale alio amini ndio wa maana anapopata shida wanakaa mbali wapo Kula mzigo na kusepa akuwaona hasa akitangaza matatizo mpaka vocha ikawa ishu kwake kuna siku naamka asubuh nakuta text yake naomba nitumie 1000 nijiunge text Ata sikujibu hii message.
akaanza nitafuta wakati ambao Nisha upumzisha moyo
kutoka kwake nikatua mzigo anakuona saf kwenye shda ukisha tatua ndio mmemalizana kwaheri wala text yake uiyoni na ukiiyona tena ujue nna shida na shilling kadhaa ahaaaaa🤮🤮.
Ukiomba mzigo sababu milioni kidogo aishiwi mara naogopa mimba Sawa kinga zipo ohooo zinaniumiza hasa ayo mafuta ok weka vipandkiz vyenu Ohoo Ivo hapana.
Sometimes ukimuita anakuja lakin yupo down Sana naumwa ni full vizuizi.
Mwisho nikasepa baada ya mateso yote tena Kwa maumivu Sana lakini niliona ni kheri sasa nipo mwenyewe.
Akapigwa mimba mchixi akazama mitini huduma akuna Maisha magumu akawa ana nitafuta nimpige tafu sifichi hua namtumia vijisent Kwa uwezo wangu kuna muda niliendaga Mozambique nikawa natumia line za kule kumbe nae aliendaga Dada Ake alimpa namba yangu ya movitel ambayo nilikua nawasiliana nae yeye Kwa wasap tu sabab ni nchi tofauti kama mnavyojua
akampa mdog Ake nae alikua ana line ya movitel akawa ananipigia huko alikua kwenye mishe za kutafuta. Alikua mgahawani
Kuna siku tulikutana huko huko Mozambique tukapiga story Sana akanitaka nilale niligoma kwamba nimeacha kaz muhim siwez lala Ila nilimkwepa Tu nilijua nin anataka.
Wakati huo nilikua na nunua dhahabu Mozambique then tunakuja Dar kuuza.
Saiz nipo pembezoni mwa jiji la Dar nafanya mishe nae akapata kaz Moro akawa ana nichek simun mambo yaka enda kombo huko kazn kwake akataka aje nilipo sababu anajua nipo Dar nikamdanganya tumesafir baadh tupo shinyanga.
Huku Dar nipo mwenyewe wife yupo mkoa ndio alitak kutumia advantage iyo kuja.
Namwambiaga we bado binti ata 28 years bado muda upo utapata mume sahihi kua na mtoto sio shida Sana japo vijana wa sasa wakikuta mwanamke ana mtoto nduki hua Kali Sana.
Anasema wapo lakini sio Kwa kuoa wanataka kukutumia Tu basii akuna la Zaid ni kheri ningejua ya mbele nisinge kutenda vile Mimi nimsamehe utoto Tu ule.
Kwangu Mimi nilisha move on kitambo Sana nikikumbuka Yale mateso yalishapita.
Nilisha play Sana song la mjeda linex Aifola halafu kuna kile kipande cha
🎶🎶🎵 Yale maumivu ulionipaaa nimesha ya sahaaaaau 🎧🎧
Hule Uzi huo hapo 👇👇unaweza uka upitia taratibu kama ukupata nafasi ya kuusoma mwandiko aukua poa sana. Sjui utakubali nimechomeka Tu hapo huo Uzi
Haikuwa rahisi moyo uliniuma mno hatimaye nikaishia njiani, nikamuacha aende lakini leo...
Kaka kwa huyuDADA ake LIZA ulikuwa unauza mechi condom lazima uliacha kutumia Uongo Ibu wa pili :D :D Nililijua hilo alafu atujawai Fanya bila kinga nae ndio alikua anasisitiza sana kinga