Kama unaridhika pouwa vumilia inaonekana mnaridhishana na wewe unajisaidia kuja pia.
Ila duh mwanamke huyo ana moyo, labda pale mjini Amsterdam red district ndio home kwake.
Pia unaweza ukaja ukapenda mambo mkikutana, kama unamzungusha yeye anategemea mtaenda mbali na wewe unaandika kujiringia eti long dist huwezi basi mwambie unavyotaka.
mkuu nami nilishafikiria kuandika hivyo, sie wengine hata hazieleweki zinatumwa toka wapi?Hivyo eeh?
Basi na mimi sent from my nokia tochi yusing meseji of kawaida.
Hapo kwenye RED naona unalenga kumuumiza mwenzako roho labda kama hajui hiyo RED DISTRICT ni nini!!!! Hata pale The Hague kuna RED RIGHT street vile vile!!!
Tiba
Jf i love you,cant live without you...
Kweli ishi kwingi usome mengi...
Isijekuwa wanakula wenzio, wewe waishia kuchungulia tu kwa skype.
hahah haya bwana wewe jienjoy kijana wala usipate tabu.
sasa hapo mwisho wajidanganya...wewe wala kwa macho wapo wanao tomasa na kuonja utamu halisia na sio via skype!
Potelea Mbali, Naridhika
enjoy bna kwa mda ulopo nae jiachie nae akija ondoka uwe umefurah angalau,mwambie akuonyeshe hadi 0717
Ukizoeana sana na mbwa kuna siku atakufuata hadi nyumba ya ibada sasa wewe endelea tu na.mchezo wenu huo,na siku akikuonyesha jinsi anavyomeng'enyuliwa huko uje pia utusimulie hapa MMU