Ananipenda kweli au ananizuga...?

Ananipenda kweli au ananizuga...?

Pat Gucci

Senior Member
Joined
Jun 7, 2011
Posts
140
Reaction score
19
Mm nina mpenzi wangu ambae ananiumiza moyo sababu huwa anipigii simu wala kuni-sms lakin nikimpigia anakuwa mchangamfu sana na hata pia nikikutana nae anavyonichangamkia anafanya nasahau yote ambayo ananifanyiaga. Na kutonipigia kwake sio kama hana credit, credit anazo na kwao ni mambo safi, WanaJF naombeni ushauri nimpige chini au nifanye nn lakin kiukweli I LuV HER A LOT?
 
cheki simu yake inaweza kuwa ni ya kupokea tuuu,,,,lol
 
Mm nina mpenzi wangu ambae ananiumiza moyo sababu huwa anipigii simu wala kuni-sms lakin nikimpigia anakuwa mchangamfu sana na hata pia nikikutana nae anavyonichangamkia anafanya nasahau yote ambayo ananifanyiaga. Na kutonipigia kwake sio kama hana credit, credit anazo na kwao ni mambo safi, WanaJF naombeni ushauri nimpige chini au nifanye nn lakin kiukweli I LuV HER A LOT?

...endelea kumpigia na kukutana nae. 'Kila kitalu na magugu yake, palilia!'
 
The most important thing in relationships is being able to distinguish LOVE from LUST
 
mmh! Pole sana, huwa anasahau kama unaexist. Kuna watu hata mimi huwa nasahau kama nina namba zao ila nikikutana nao najisikia vibaya kwahyo nawachangamkia sana ili wasiniseme. Lol.
 
mmh! Pole sana, huwa anasahau kama unaexist. Kuna watu hata mimi huwa nasahau kama nina namba zao ila nikikutana nao najisikia vibaya kwahyo nawachangamkia sana ili wasiniseme. Lol.

but kumsahau mpenzi wake si jambo ndogo
 
Back
Top Bottom