Ananipenda sana lakini

Ananipenda sana lakini

Usimtajia sana kutoka nae, ongeanae kama kawaida anahisi kama vile unataka kumvue nguo punguza papara inaelekea unamtisha.
 
Mh! ni ngumu kuelewa that situation embu mchunguze kwanza unawezagundua ladba ana bad exprience na mitoko. dah pole sana...
 
jaman ampige chini wakati yy ndokalizika nae,cz anaogopa atapata mwingne yn mpnz kiboko
 
ni ndo dalili za kupigwa chini, we una lako!
 
Nna rafiki wa kike lakini cha kushangaza nikimwambia kitu lasima akifanyie marekebisho kwanza watu na ataki marafiki zake wajuwe kuna sku nimesafiri kwenda mbeya alilia sana na sasa nimerudi dar lakin nikimwambia nmtoe out mara1 kasema anaumwa leo asubui nikamwambia tutoke kaniambia ANASIKIA UVIVU wa kutoka leo. Nimwache au

oya andika vizuri basi,una haraka ya nn sasa?watu wengine mnakera kweli.
 
Back
Top Bottom