Ananitafuta tarehe za mshahara tu

Ananitafuta tarehe za mshahara tu

Sijaelewa!! Unamaanisha hua anakuja Kwa hizo Tarehe Tu Mnakaaa Mshahara ukitoka ukimpa anapotea Mpaka mwisho wa mwezi??

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile apA

Sijaelewa!! Unamaanisha hua anakuja Kwa hizo Tarehe Tu Mnakaaa Mshahara ukitoka ukimpa anapotea Mpaka mwisho wa mwezi??

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ndio mkuu, akija anakuwepo mie mshahara ukitoka nampa hela kwa nia afanyie issue zake lakini kesho yake anaaga anasepa. Imekuwa ikijirudia kiasi nineanza kuona kama ni planned. Ukimpa tu hela anaaga kesho yake. Nina biashara ila hazijui so huwa namwambia nasubiri mshahara, kuna time nilipokea hela nikavunga imekawia mpaka tarehe 2 akawa yupo tu, jion nikampa 50 nikamwambia utaangalia vitu vyako shop kesho afu nikirudi tutatoka , ajabu nilipofika job tu akanipigia kuomba aondoke.
 
Kabla ya hizo tarehe huwa Kuna wengine anawapelekea wanachakata, kutesa kwa zamu hizo 50000 hazipati kwako tu.
 
Kama unapiga, Shida yako nini? Unampa hela, anakupa korongo.... Ni Biashara. Mambo mengine hata sio ya Kuleta hapa. Hizo siku zingine anaishije sio business yako kujua. Ila inaonekana utakuwa ulimzoesha kumcheki mwisho wa mwezi naye akazoea hivo na ndio maana anakucheki kila mwisho wa mwezi. Ishi nae hivo hivo
 
Back
Top Bottom