Ananitaka kimapenzi kisa kanikuta na mwanae

Nimeshindwa kudetermine uwezo wa akili wa mtoa mada aisee[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Dah!! Ndo nguvu ya mapenz ilivyo! Hata hvyo haijawah tokea yule mazaa kurudi nyumbani mchana! Cjui ilipangwa tu itokee. Duh

Eti ilipangwa tu itokee
[emoji38][emoji38][emoji38]ili mmalizane kiutu uzima eee
 
Hilo halihitaji ushauri, kwa sababu ni uamuzi wako baada ya kupima faida na hasara zake. Ila pia ninaomba kukushauri nje ya hilo.
Nimesoma hapo juu kua hivi karibuni unaanza kusoma elimu ya juu. Ushauri wangu kwako sasa ni " anza kujitahidi kuandika vitu katika mpangilio mzuri na herufi pia uziandike vizuri.uache uandishi wa vijana wadogo, walio kwenye mkumbo wa kuamini kua kuweka x badala ya s ni ujanja. Tumia herufi sahihi katika kuandika".
 
Mwambie wewe na mijimama mbali mbali. 😜

 
Sasa nakufundisha. Pamoja na mambo mengine soma sheria.

Mwambie, hauko tayari kutimiza anachotaka. Wakati wa maongezi yako na wewe Rekodi.
Maana Hata ukimtimizia atatumia kigezo hicho hicho kukufanya mtumwa.

Kabla hajafika kusema andaa mazingira. Sema mhusika unamuona mara kwa mara anakufwatilia hujajua ana kusudi gani.

Kaa, subiri.

Akija kusema, sanua.

Ushahidi ukiwa nao.

Wewe ni kijana kuwa makini.

Ukimwi na magonjwa ya zinaa yapo.

Jishughulishe na vitu vingine, usitumie sexual energy vibaya.
 
Picha ya maza plz
 
Uongo, Chai
Hizo ni stori tu ila kiharisia hazipo
Kwanza akikukutiliza badala ya kushangaa awahi simu kukupiga picha, haiwezekani,
Mda anashangaa ubaki uchi bila kuvaa, haiwezekani!
Akupige picha uko na mwanae, haiwezekani!

Katika dunia hii nayoishi wanawake hawana nyege hizo za kutumia kuforce tendo la mara moja ili wapotezee, sie wanaume ndo tuko hvyo, coz sie tunachotaka ni sex tu na tuna fall out of love after sex, its opposite for women,

Nb;
Hii stori muhusika angekuwa binti ingeaminika, we are who we're
 
Prepoje!! Kama haijakukuta ni haijakukuta tu!! Watu tunakutwa na mikasa bhana!! Kwani unatarajia nikaombe ushauri wap!! Facebook au saccoss!! Acheni hzo bhana!! Tatzo watu mnafata mkumbo!!
Kwahio huu nao ni mkasa mkuuubwa[emoji1787][emoji1787][emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…