Ananitaka kimapenzi kisa kanikuta na mwanae

Ananitaka kimapenzi kisa kanikuta na mwanae

Sasa nakufundisha. Pamoja na mambo mengine soma sheria.

Mwambie, hauko tayari kutimiza anachotaka. Wakati wa maongezi yako na wewe Rekodi.
Maana Hata ukimtimizia atatumia kigezo hicho hicho kukufanya mtumwa.

Kabla hajafika kusema andaa mazingira. Sema mhusika unamuona mara kwa mara anakufwatilia hujajua ana kusudi gani.

Kaa, subiri.

Akija kusema, sanua.

Ushahidi ukiwa nao.

Wewe ni kijana kuwa makini.

Ukimwi na magonjwa ya zinaa yapo.

Jishughulishe na vitu vingine, usitumie sexual energy vibaya.
Thanks
 
Kama vile sisi tunavyomuona huyu bwana mdogo, hivi ndio vile wazungu huwa wanatuona waafrika
Na ndivyo jinsi ambavyo mm nawaona wengi wenu!!
Sasa kama tunashindwa kutatua matatizo madogo madogo kama haya, tunaweza kuwa mawaziri kweli!!
 
Tarehe 24 ya mwezi wa nane niliomba maelekezo kwa msichana mmoja hivi demu wangu!! Akanikubalia tukakubaliana tuimalizie kwao. Dah!! Kama huna bahati ni huna tu, tukakutwa na maza mtu, alisukuma mlango ghafla, kumbe yule demu hakuwa ameufunga, aliuegeshea!! Alichokifanya alitupiga picha kwa camera ya simu yake, kisha akaanza kufoka akanitisha kusema home.

Mmh! Lakini muda natoka nje, akasema tuonane jioni tuyamalize!! Jioni hiyo akasema tutafute muda nimtimizie then kesi iishe! Duh, ukimuona, ni mkubwa, 40 na kuendelea anazo! Mnene hadi unaogopa!! Halafu sitaki hom wajue kuwa nilivusha yule dem kwao. Nifanyeje sasa, nimtimizie yaishe au nifanye nini jaman, mimi mwenyewe 21 tu!!!
Mle

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
21 bado mdog nd maan unaomba ushauri ila mbn ni Jambo jepesi tu Mkuu apa ilitakiwa tu ulete mrejesho mabaharia tukupe credit sio kuomb ushauri changamka dogo
 
Back
Top Bottom