Mkuu Iviii geto huna[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah!! Ndo nguvu ya mapenz ilivyo! Hata hvyo haijawah tokea yule mazaa kurudi nyumbani mchana! Cjui ilipangwa tu itokee. Duh
Kumekucha my friend! Mfundishe na ile mada yako ukute hata kabinti ka watu hakakufika kibo na mawenzi! 😂😂😂Alafu huyo sio maza..huyo ni bidada[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanene wana tuKEI TUDOGOO.
Umefaulu Xana Xio?Nimefaulu sana, uenda zaidi yako hata!! Mm xio kilaza!!! Zima data ukalale kama huna cha ku comment.
Wahaya bhana, cjui tuwaweke wap!!!
Ili swali hata mm nimejiuliza kichwani ghafla nikakutana na comment yako.Hivi mbona Mimi nilipomaliza 6 sikuwa kilaza ivi?
Umefaulu nini.....Nimefaulu sana, uenda zaidi yako hata!! Mm xio kilaza!!! Zima data ukalale kama huna cha ku comment.
Wahaya bhana, cjui tuwaweke wap!!!
Well said mkuuSasa nakufundisha. Pamoja na mambo mengine soma sheria.
Mwambie, hauko tayari kutimiza anachotaka. Wakati wa maongezi yako na wewe Rekodi.
Maana Hata ukimtimizia atatumia kigezo hicho hicho kukufanya mtumwa.
Kabla hajafika kusema andaa mazingira. Sema mhusika unamuona mara kwa mara anakufwatilia hujajua ana kusudi gani.
Kaa, subiri.
Akija kusema, sanua.
Ushahidi ukiwa nao.
Wewe ni kijana kuwa makini.
Ukimwi na magonjwa ya zinaa yapo.
Jishughulishe na vitu vingine, usitumie sexual energy vibaya.
Ndio maana watu design ya Samia wakiwa wanahutubia UNGA, wazungu huwa wanatoka nje ya ukumbi hadi pumba ziishe.Kama vile sisi tunavyomuona huyu bwana mdogo, hivi ndio vile wazungu huwa wanatuona waafrika
....40 ni mkubwa kihiivyo? Akifika 60 sijui atamuitaje! [emoji16]Eti ni mkubwa ana 40. hivi 40 ni mkubwa?? rudi FB
Jinga kabisa labda chekechea mtarajiwa,pussy!!We!! Mm mwanachuo mtarajiwa!!!
kwa uandishi huu wewe ni kilaza First GradeNimefaulu sana, uenda zaidi yako hata!! Mm xio kilaza!!! Zima data ukalale kama huna cha ku comment.
Wahaya bhana, cjui tuwaweke wap!!!
Kashenzi haka katoto badala ya (S) kanaweka (X).Nimefaulu sana, uenda zaidi yako hata!! Mm xio kilaza!!! Zima data ukalale kama huna cha ku comment.
Wahaya bhana, cjui tuwaweke wap!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] long time hizi mambo kumbe bado zinaendelea..nakusalimu thoughKaribu jf
Jana na leo👋Yakobo Yakobo.
Za miaka tele Manka, umepotea....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] long time hizi mambo kumbe bado zinaendelea..nakusalimu though