ThanksSasa nakufundisha. Pamoja na mambo mengine soma sheria.
Mwambie, hauko tayari kutimiza anachotaka. Wakati wa maongezi yako na wewe Rekodi.
Maana Hata ukimtimizia atatumia kigezo hicho hicho kukufanya mtumwa.
Kabla hajafika kusema andaa mazingira. Sema mhusika unamuona mara kwa mara anakufwatilia hujajua ana kusudi gani.
Kaa, subiri.
Akija kusema, sanua.
Ushahidi ukiwa nao.
Wewe ni kijana kuwa makini.
Ukimwi na magonjwa ya zinaa yapo.
Jishughulishe na vitu vingine, usitumie sexual energy vibaya.
Na ndivyo jinsi ambavyo mm nawaona wengi wenu!!Kama vile sisi tunavyomuona huyu bwana mdogo, hivi ndio vile wazungu huwa wanatuona waafrika
I miss you uncleKaribu jf
Hivi wewe ndio Miss Chaga?Hakika nahitaji kusimuliwa nikiwa nimetulia naona jamvi raia wengi me ndio naonekana mgeni
MleTarehe 24 ya mwezi wa nane niliomba maelekezo kwa msichana mmoja hivi demu wangu!! Akanikubalia tukakubaliana tuimalizie kwao. Dah!! Kama huna bahati ni huna tu, tukakutwa na maza mtu, alisukuma mlango ghafla, kumbe yule demu hakuwa ameufunga, aliuegeshea!! Alichokifanya alitupiga picha kwa camera ya simu yake, kisha akaanza kufoka akanitisha kusema home.
Mmh! Lakini muda natoka nje, akasema tuonane jioni tuyamalize!! Jioni hiyo akasema tutafute muda nimtimizie then kesi iishe! Duh, ukimuona, ni mkubwa, 40 na kuendelea anazo! Mnene hadi unaogopa!! Halafu sitaki hom wajue kuwa nilivusha yule dem kwao. Nifanyeje sasa, nimtimizie yaishe au nifanye nini jaman, mimi mwenyewe 21 tu!!!
Atakuwa amekula ada na michangoShule vipi mmeshafungua?
Thanks Ankali umeadimika...I miss you uncle
HapanaHivi wewe ndio Miss Chaga?
Dah!! Nashindwa niongee nini sasa!Atakuwa amekula ada na michango
Umejuaje ni mgeni[emoji3][emoji3][emoji3]Karibu jf
nilibanwa kidogo nilikuwa bushi safari hii niliingia kwenye kilimo kipya kidogo na kwa bahati kikaniliza lakini sikome narudi tenaThanks Ankali umeadimika...