Ananitia hasira


naweza kubaliana na ww enz za ujana kuna kaka nilikua namchukia balaa lkn aliniganda mpaka nikaingia kwny line usiniulize niliingiaje kwani mpaka leo sijui na nikatokea kumpenda kuliko maelezo so mamushka mpenz angalia yaweza kukutokea na ww na pengine akawa mumeo kabisa. Na kwa sababu anakupenda tafuta ck mkae mnakula peke yenu wawili akianza kuvuta hy chai yake unamuelekeza 2 kwa upendo ili asijiskie vbya huku unatabasam kwa mbali kwamba hiki na hiki kinatakiwa kiwe hv na kwa sababu anakupenda na hujamkubali atabadilika haraka haraka
 
HTML:
Pole..... Kaazi kweli... Ongea nae kwa utaratibu! atakuelewa. Ila kumbuka watu wa namna hiyo, mwishowe anakuwa ndio mumeo.....

Hahahahahahahah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! du!!!! Ni kweli kabisaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:rofl:
 
Hapo ndo nisipowaamini kabisa nyie viumbe, mara nyingi mkisema NO, basi ndo ujue YES hiyo!!!!!!!!
Swala sio Yes or No. The point is nachukizwa na vitabia.
 

Hi Mamushka,... kama ungeweza kumbadilisha iwapo angekuwa mpenzio basi ni rahisi zaidi kumbadilisha akiwa nomal friend... Kwa sababu unaweza kumwambia tafiki chochote hata kama kitamuudhi sometimes but mpenzi utahofia kumuudhi kwa sababu kila mtu anapenda kumfurahisha darii na sio kumuudhi.. Ni hayo tu.:A S-alert1:
 
Ungempenda wala usinge sema haya yote!
 
penzi kikohozi mama
 
Pole sana ila inabidi uende naye pole pole. Kuhusu kukuita Darlin, mpenzi, hny hilo sioni kama ni tatizo ila angalia lisiendi likavuka mipaka maana kwa watakaosikia ukiitwa Darlin watajua mambo ndo hivyo tena.
Kuhusu ishu ya kucheua kuna watu ambao wako hivyo nikiwa na maana hawawezi izuia kutokana na matatizo ya kibinaadamu...ila ndo umfunze aseme SAMAHANI....kunywa chai kwa fyuuu...hilo ni tatizo ambalo liko nje ya uwezo wa walio wengi...na hii inatokana na wao kuogopa kuungua midomo...cdhani kama akinywa kinywaji cha baridi anafanya hivyo....

Urafiki ni kuambiana ukweli na kusaidiana. So msaidie na wewe ujivunie urafiki wenu.
 
Haya bwana ntamwambia, ila nikitoka nae then aanze kugonga sahani ntacheka jamani sitavumilia, mh hayo ya kumpenda ni ya mungu mi sijui.
 
Thank you ntajitahidi.
 
mamushka kila mtu ana mapungufu yake,na darii naye hayo ndiye mapungufu yake.
nenda naye pole pole,acha kukasirika kasirika bibie kwa vitu vidogo vidogo utaharibu reception kwa makunyanzi bure!
 

sorry lkn umenichekesha jinsi ulivyojaribu kumtetea!
 
mnh..usipoteze muda,kwa jitu usilolipenda....
unajinyima chances zako za kuwa na mtu wako ambaye yuko perfect(kama yupo)...

mie naamini hakuna mtu 100 perfect,mwingine atakuja na vitabia vingine..usivyovipenda...sa sijui,utabadilisha wangapi?

Duh!! Kumbe huwa mnatuita hivyo
 
tafuta movie inatwa the ugly truth. Itazame na kuisikiliza kwa makini then unaweza kupata majibu.
 
tih tih tih........mrekebishe bwana mwambie aache kufanya hivyo.........mtishie mwambie asipoacha unamnunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…