Ananizidi umri lakini tunapendana sana

Ananizidi umri lakini tunapendana sana

Habari wakuu,

Jaman nina mpenzi wangu ananizidi miaka 8
mimi nina20 yeye ana 28, lakini kiukweli tunapendana sana,tatizo lipo mtaani kwetu wanatudis sana na kutufanya tukose amani.Wakuu kwani kuna ubaya wowote mpenzi wako akikuzidi umri.

Naomben ushauri

Hapana sio tatizo dada, we olewa nae tu, wapo wengine wanazidiwa na waume zao hata miaka 50..mapenzi hayaangalii umri😱
 
Habari wakuu,

Jaman nina mpenzi wangu ananizidi miaka 8
mimi nina20 yeye ana 28, lakini kiukweli tunapendana sana,tatizo lipo mtaani kwetu wanatudis sana na kutufanya tukose amani.Wakuu kwani kuna ubaya wowote mpenzi wako akikuzidi umri.

Naomben ushauri

We ni wa kike au kiume?
 
Watu wanapishana miaka 10, itakuwa 8 tu. We fanya yako, usisikilize ya watu. Sisi binadamu tuna mengi ya kuongea yasiyotuhusu.
 
Habari wakuu,

Jaman nina mpenzi wangu ananizidi miaka 8
mimi nina20 yeye ana 28, lakini kiukweli tunapendana sana,tatizo lipo mtaani kwetu wanatudis sana na kutufanya tukose amani.Wakuu kwani kuna ubaya wowote mpenzi wako akikuzidi umri.

Naomben ushauri

1. Na wewee wadiss
2. Waambie huna mazoea ya kupanda kitandani na vyeti vya kuzalia
 
Age is nothing but a number,enjoy ur life.
 
ningejua jinsia yako ingekua rahisi kuku shauri!!! ila kama ni mwanamke GUUUD sio mbaya ila kama ni mwanaume MHHH!! uyo mwanamke mkubw na awa watu wanachoka mapema 4sure utamchoka mapema!!!!!! atazeeeka, atakoa HEMHEM we ndo ukiwa moooto!! inaweza kupelekea kuchepuka!! xo take it into considrtion!!
 
usiyasikilize ya watu! heshimu tu maamuzi yenu maadamu yako sahihi.
 
Back
Top Bottom