Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Wanawake wa sikuhiz cjui mmekuwaje. Et bila makeup hawez tembea barabarani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie huyo. Analalamika kutoa pesa ya make up , what kind of he is?Unajisikiaje mwanamke wako kuja kukuona amejipamba na akapambika kwelikweli???
Hivyo basi ukuona vyaelea ujue viundwe .
Jamaaa anachotaka ni mzigo,,hii inaonyesha he is after sex kwa mwanamke wake.Mwambie huyo. Analalamika kutoa pesa ya make up , what kind of he is?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yeye mwenyewe huko analalamika ulivyomuomba aje kwako kusex.
Muoneshe kujali akifika ni kuteleza siyo unalalamika tena anachelewa kukojoa
Ndo maana nakupendaJamaaa anachotaka ni mzigo,,hii inaonyesha he is after sex kwa mwanamke wake.
Raha ya mwanamke umkute muda wote ameng'aaa ujuee hata kutembea naye unamshika.mkono ,sio kumwacha nyumaa au yeye atangulie mbele.
Hivi mtoa mada kuna sehemu ametaja kusex?? au ni mimi sioni vizuri?Yeye mwenyewe huko analalamika ulivyomuomba aje kwako kusex.
Muoneshe kujali akifika ni kuteleza siyo unalalamika tena anachelewa kukojoa
Ukimuita binti kwako mnaenda kupiga selfie siyo?Hivi mtoa mada kuna sehemu ametaja kusex?? au ni mimi sioni vizuri?
tatizo umekariri kuwa nikikuita ghetto lazima 'nikunjunje' hapana sio hivyo...Ukimuita binti kwako mnaenda kupiga selfie siyo?
Vyema.tatizo umekariri kuwa nikikuita ghetto lazima 'nikunjunje' hapana sio hivyo...
sio kila aitwaye nyumbani wanaenda kugegedana
[HASHTAG]#ChangeYourMindset[/HASHTAG]
poaVyema.
Mnasemaga ivi ivi lakin akifika mnamkulatatizo umekariri kuwa nikikuita ghetto lazima 'nikunjunje' hapana sio hivyo...
sio kila aitwaye nyumbani wanaenda kugegedana
[HASHTAG]#ChangeYourMindset[/HASHTAG]
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] hapana inategemeana na makubaliano yenuMnasemaga ivi ivi lakin akifika mnamkula
[emoji23] [emoji23] simba hajawahi kua na urafiki na swala[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] hapana inategemeana na makubaliano yenu